Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Featured Image
236 Comments

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
238 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

Β 

237 Comments

Breaking news

Featured Image
236 Comments

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Featured Image
237 Comments

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Featured Image
238 Comments

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Featured Image
236 Comments

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image
236 Comments

Huyu ndo mwanamke

Featured Image
237 Comments

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Featured Image
236 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact