Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Featured Image

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe

236 Comments

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

237 Comments

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Featured Image

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia.
BABA: kwanini unasema hivyo?.

238 Comments

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Featured Image
237 Comments

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Featured Image
236 Comments

Usichokijua kuhusu shamba lako

Featured Image
236 Comments

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Featured Image
236 Comments

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Featured Image
236 Comments

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
237 Comments

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka.

238 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact