Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
โ˜ฐ
AckyShine

Huyu bibi kazidi sasa

Featured Image
236 Comments

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Featured Image
237 Comments

Mambo ya kijijini haya!

Featured Image
236 Comments

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

236 Comments

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Featured Image
238 Comments

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Featured Image
236 Comments

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Featured Image
236 Comments

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Featured Image

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako

236 Comments

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enheeโ€ฆ BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care..
238 Comments

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Featured Image
Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME"
237 Comments
๐Ÿ“˜ About ๐Ÿ”’ Login ๐Ÿ“ Register ๐Ÿ“ž Contact