Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Huyu bibi kazidi sasa

Featured Image
236 Comments

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

 

237 Comments

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Featured Image
236 Comments

Sababu ya girlfriend 👧 kuniblock

Featured Image
236 Comments

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Featured Image
238 Comments

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…"
236 Comments

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image
236 Comments

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image
237 Comments

Lugha za namba ni noma

Featured Image
237 Comments

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact