Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Featured Image
50 Comments

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Featured Image
50 Comments

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Featured Image
Kupokea huruma ya Mungu ni baraka kubwa sana! Ni jambo la kushukuru na kufurahia. Sisi tunapaswa kuishi kwa shukrani na ukarimu kwa sababu tumepokea mengi kutoka kwa Mungu. Ni wakati wa kushiriki neema hii na wengine kwa upendo na wema.
50 Comments

Mafundisho ya kumfundisha mtu mzima kabla ya ubatizo wa hatari

Featured Image
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Maandiko Matakatifu kuwa Neno la Mungu?

Featured Image
Linapokuja suala la Maandiko Matakatifu, Kanisa Katoliki limejenga msingi imara. Kanisa halitambui tu, bali linatangaza kwamba Maandiko yanatokana na Neno la Mungu mwenyewe!
50 Comments

Ibada ya Rozari ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukaribu na Mungu

Featured Image
Ibada ya Rozari ya Huruma ya Mungu ni njia kamili ya kuonesha upendo wetu kwa Mungu na kuimarisha ukaribu wetu naye. Kupitia sala hii, tunapata faraja na utulivu wa moyo, na tunajifunza jinsi ya kuwa na huruma kwa wengine kama vile Mungu alivyokuwa na huruma kwetu. Usikose fursa hii ya kushiriki katika ibada hii ya kuvutia na yenye kuleta amani, ujue kuwa Mungu yupo karibu nawe daima!
50 Comments

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sana…
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akapona…

50 Comments

Mafundisho makubwa ya Yesu Kristo

Featured Image
50 Comments

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Featured Image

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi.

50 Comments

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

Featured Image

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa hapo kwisha habari yako

2. Kufanya umwogope shetani na nguvu zake kuliko unavyompenda MUNGU. Wakristo wengi leo hii husali na kuomba kwa nguvu mno siyo sababu wanampenda MUNGU mno hapana ni sababu wanamwogopa shetani na majeshi yake

50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact