Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Featured Image
50 Comments

Uelewa wa namba katika Biblia

Featured Image

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ni Neno la Mungu. Hivyo mwandishi wa Biblia ni Mungu kupitia wanadamu (God is the primary author of the Bible while human authors are secondary authors). Mungu aliwavuvia (inspiration by the Holy Spirit) waandishi wanadamu ili waweze kuandika kile tu ambacho Yeye (Mungu) alitaka kiandikwe kwa ajili ya wokovu wa wanadamu.

50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact