Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

JE IMANI AU MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI YANAPATIKANA KATIKA BIBLIA?

Featured Image
50 Comments

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Featured Image
50 Comments

Maana ya jina Bikira Maria

Featured Image
50 Comments

Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

Featured Image

MITHALI 11:12 Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.

MITHALI 17:28 Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.

Changamoto kubwa tuliyonayo ni kwamba tunataka kuongea kila wakati, tunataka kujibu kila tunachokisikia, kila tunachokiona tunataka kukisemea kitu.

51 Comments

Kuumbwa kwa mtu, Mungu alivyoumba binadamu

Featured Image
50 Comments

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Featured Image

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya #Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Maandiko Matakatifu kuwa Neno la Mungu?

Featured Image
Linapokuja suala la Maandiko Matakatifu, Kanisa Katoliki limejenga msingi imara. Kanisa halitambui tu, bali linatangaza kwamba Maandiko yanatokana na Neno la Mungu mwenyewe!
50 Comments

AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

Featured Image
50 Comments

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Featured Image
Ijumaa ni siku ya Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu! Kwa kupitia sala hii ya kudumu kwa siku tisa, tunapotafuta neema na baraka za Mungu, tunapata amani na ustawi wa roho zetu. Karibuni sote kushiriki katika Ibada hii ya upendo!
50 Comments

Huruma ya Mungu: Upendo Usiokuwa na Kifani

Featured Image
Huruma ya Mungu ni upendo usiokuwa na kifani, ambao unatufanya tujisikie vizuri kila wakati. Ni kama jua lenye joto, ambalo hulainisha mioyo yetu na kutoa nguvu kwa roho zetu. Hakuna kitu kizuri kama kujua kuwa upendo wa Mungu hauishi kamwe, na tuko salama chini ya mabawa yake ya upendo.
50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact