Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Featured Image

Uzinzi na uasherati wakati huu umekuwa ndio sumaku kuu ya kuwanasa watu ili waende jehanamu.

Sumaki hii imewanasa hata ambao hawakutegemewa wala kutarajiwa.

Uzinzi uzinzi uzinzi umekuwa kama perfume ya kujipulizia kila Mara mtu akipenda.

Uasherati umekuwa kama heshima ya kibinadamu kwa vijana wengi.

50 Comments

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Featured Image
50 Comments

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Featured Image
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Upatanisho?

Featured Image
What is the Catholic Church's belief about the Sacrament of Reconciliation? Let's explore the joyous teachings of this holy sacrament.
50 Comments

Njia Kuu 3 za Kuiishi Huruma ya Mungu

Featured Image
50 Comments

JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?

Featured Image
50 Comments

Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Featured Image
Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika: Kupata Ushindi Kupitia Neno la Mungu!
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Featured Image
What is the Catholic Church's belief on the sacrament of marriage? Let's explore this joyous topic together!
50 Comments

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

Featured Image
50 Comments

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Featured Image

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya #Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact