Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

Featured Image
Kuomba msamaha ni njia ya kujiweka karibu na Mungu. Ni safari ya uongofu ambayo inalipa kwa baraka za huruma ya Mungu.
50 Comments

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Featured Image
Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa sababu ya wengine kupata Baraka na neema za Mungu. Unaweza kuwa kikwazo kwa maana kwamba unaweza kuwa wewe ni sababu ya wengine kutokupata Baraka na Neema za Mungu.
101 Comments

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Ukombozi katika Kila Hali

Featured Image
Kwa wale wanaoamini huruma ya Mungu, hawana haja ya kuogopa! Kila hali ni fursa ya kujifunza na kuzidi kuwa na nguvu. Kwa kweli, ulinzi na ukombozi vinapatikana kwa kila mmoja wetu, sasa na milele. Jifunze zaidi juu ya huruma ya Mungu na ujisikie furaha!
50 Comments

Huruma ya Mungu: Umoja wa Neema na Upendo

Featured Image
Huruma ya Mungu ni kama jua lenye nuru na joto, ikileta umoja wa neema na upendo. Ni baraka isiyo kifani ambayo hutujaza furaha tele!
50 Comments

Kwa nini Mungu hatendi mpaka umwambie au umuombe? Kwa nini tusali?

Featured Image
Mungu anapenda kutenda jambo baada ya mtu kumuomba/kusali ili mtu aelewe Ukuu wa Mungu na ili Mungu atukuzwe. Kama kila kitu mtu anachotaka kingekua kinafanyika, Binadamu asingemkumbuka Mungu na Mungu asingetukuzwa
100 Comments

Yafahamu Mawazo na Mipango ya Mungu Kwako

Featured Image
Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu aliyopanga Kwake. Lakini kama mtu ataishi kwa kufuata mapenzi yake mwenyewe basi atapoteza yale mema Aliyopangiwa.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Featured Image
Huruma ya Mungu ni upendo usiokoma, unaoweza kutuokoa na kutusamehe hata pale tunapokosea.
50 Comments

Tafakari ya leo kuhusu Uaminifu

Featured Image
Uaminifu ni kipimo na kigezo cha Ukamilifu na Utakatifu. Uaminifu ni ishara ya Upendo na tunda la uvumilivu. Uaminifu ni alama ya ushirika na Umoja.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Featured Image
Huruma ya Mungu ni kama mvua ya baraka, inayomwagika na kuondoa kila tope la dhambi. Hii ni karama ya upatanisho na ukarabati, ambayo inaleta furaha na amani moyoni.
50 Comments

Mambo yanayowazuia Waumini na Watumishi wa Mungu Kufikia Ukamilifu na Utakatifu

Featured Image
Leo nimekuandalia Tafakari kuhusu Mambo yanayowazuia Waumini na watumishi wa Mungu Kuishi Kitakatifu na kufikia Ukamilifu. Mambo haya yanaweza yakaonekana sio dhambi au makosa kwa mtu lakini ni vikwazo kwa mtu kufikia Ukamilifu hasa anaposhindwa kuyajua na kuyaepuka. Wengi wanajiona kwamba wako salama lakini kumbe wako katika dhambi.
100 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact