Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Kuishi katika Huruma ya Mungu: Njia ya Utakatifu na Ukarimu

Featured Image
Kuishi katika huruma ya Mungu ni njia ya utakatifu na ukarimu. Ni kujenga uhusiano wa karibu na Mungu na kutekeleza wito wake wa kuwatumikia wengine. Hii ni njia yenye furaha na baraka tele.
50 Comments

Unafahamu kuwa Imani ni Cheti cha Kuweza Kupata Yote?

Featured Image
Imani ni njia ya kuweza kupata yote. Unachohitaji ni Imani. Naam kuwa na uhakika na unachokitarajia.
100 Comments

Maana ya kuushinda ulimwengu

Featured Image
Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.
100 Comments

Tafakari Kuhusu Matumizi Ya Mali

Featured Image
Usiwe Bahili wa kutumia Mali ulizojaliwa na Mungu. Mungu amekupa Mali hizo ili ufurahie maisha uliyonayo ambayo siku moja yana mwisho.
100 Comments

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Featured Image
Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa sababu ya wengine kupata Baraka na neema za Mungu. Unaweza kuwa kikwazo kwa maana kwamba unaweza kuwa wewe ni sababu ya wengine kutokupata Baraka na Neema za Mungu.
101 Comments

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Featured Image
Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso Wakati mwingine tunahitaji kusafisha roho zetu na kusimama katika utakatifu. Kuomba huruma ya Mungu ni njia bora ya kufikia hili. Ni wakati wa kusimama mbele za Mungu na kuomba msamaha kwa dhambi zetu, tukiamini kwamba yeye atatupatanisha na kutakasa roho zetu. Kwa hivyo, hapa ndiyo tunapoomba huruma ya Mungu, tunapata njia ya upatanisho na utakaso. Ni wakati wa kubadilisha mwelekeo wa maisha yetu na kumruhusu Mungu awe na udhibiti kamili. Kwa hivyo, acha kila kitu na chukua muda wako kwa sala, kuomba huruma ya Mungu na kusafisha roho yako.
50 Comments

Mambo ya Msingi Sana Kuhusu Kusali na Kuomba

Featured Image
Rafiki yangu, Omba utafute uso wa Mungu, Aonaye kwa Siri atakujibu kwa wazi. Mungu ni Mwaminifu Sana hasa kwa wamwombao bila kukoma na kwa matumaini. Mungu yeye anasikia Sala zetu zote na kuzijibu zote.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Featured Image
Kuna kitu kimoja duniani ambacho hakina mipaka, na hicho ni huruma ya Mungu. Ni chemchemi ya upendo usiokwisha, inayoendelea kutiririka kwa neema na baraka. Ni raha ya moyo na faraja ya roho. Na ndio sababu tunapenda kumwabudu Mungu wetu mwenye huruma.
50 Comments

Yafahamu Mawazo na Mipango ya Mungu Kwako

Featured Image
Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu aliyopanga Kwake. Lakini kama mtu ataishi kwa kufuata mapenzi yake mwenyewe basi atapoteza yale mema Aliyopangiwa.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Kuponya Majeraha ya Roho

Featured Image
Huruma ya Mungu ni ya kweli na inaweza kuponya majeraha ya roho yako!
50 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact