Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Kuhusu Ubatizo, Haya ndiyo mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu

Featured Image
Kwa nini ubatizo unafanyika kwa maji? Ubatizo unafanyika kwa maji kwa kuwa ndiyo ishara ya usafi na ya uhai unaotupatia kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Featured Image
Habari za leo wapendwa! Leo tutazungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia. Je, umewahi kujiuliza jinsi Kanisa Katoliki linavyoshughulikia masuala haya? Hebu tuendelee kusoma ili kufahamu zaidi!
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Ibada ya Misa

Featured Image
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Featured Image
Kanisa Katoliki linatetea haki za binadamu kwa furaha na nguvu zote! Je, unajua kuwa kanisa linafundisha umuhimu wa kulinda haki zetu? Soma makala hii ili kupata maelezo zaidi!
50 Comments

Maswali yanayoulizwa sana Kumhusu Bikira Maria

Featured Image
102 Comments

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

Featured Image
Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wetu wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12, Kol 3:20) Amri ya Nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12), Kol 3:20
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Featured Image
Ni wakati mzuri wa kuchunguza imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu!
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Kanisa Katoliki

Featured Image
Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira Maria? Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali Inavyotakiwa.
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Sala

Featured Image
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Kuongea maana yake ni kusema na Kusikiliza. Sala sio kuongea tuu, sala ni kuongea na kusikiliza. Mungu anatualika tuongee nae kwa kusema na kusikiliza.
50 Comments

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Featured Image
Katika amri ya pili ya Mungu tumekatazwa nini? Katika amri ya pili ya Mungu tunakatazwa kuapa bure kwa Jina la Mungu Kiapo cha uongo ni nini? Ni kuahidi kwa kiapo bila nia ya kutimiza au kuvunja ahadi iliyotelewa.
50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact