Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

Featured Image
Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tutunze uhai wetu na wa watu wengine tangu mwanzo hadi mwisho. (Mwa 4:10-11) Kwa nini ni lazima kutunza uhai wetu na wa wenzetu? Kwa sababu uhai wa watu wote umetoka kwa Mungu
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Featured Image
Je, unajua kwamba Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali? Wao ni mstari wa mbele katika kujenga jamii yenye amani na utangamano. Kila mtu anastahili kulindwa haki yake ya uhuru wa dini!
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Featured Image
Ni muhimu kujua imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema. Kupitia sakramenti ya toba, tunaweza kupokea msamaha wa dhambi zetu na kupata neema za Mungu. Jisikie huru kuomba msamaha na ujisikie mwenye furaha kwa upendo wa Mungu.
50 Comments

Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya Kipaimara

Featured Image
Sakramenti ya Kipaimara ni nini? Ni Sakramenti yenye kumpa Mkristu Roho Mtakatifu na ukamilifu wa mapaji yake saba, kumfanya mkristu mkamilifu na kumwandika Askari hodari wa Yesu Kristo Mpaka Kufa
51 Comments

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Ishara ya Msalaba

Featured Image
Ishara ya msalaba ni nini? Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka “Kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina”
50 Comments

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Featured Image
Katika amri ya pili ya Mungu tumekatazwa nini? Katika amri ya pili ya Mungu tunakatazwa kuapa bure kwa Jina la Mungu Kiapo cha uongo ni nini? Ni kuahidi kwa kiapo bila nia ya kutimiza au kuvunja ahadi iliyotelewa.
50 Comments

Amri za Kanisa: Mambo ya Muhimu kujua na Kuzingatia

Featured Image
Amri za kanisa ni; 1. Hudhuria Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa. 2. Funga siku ya Jumatano ya Majivu; usile nyama siku ya Ijumaa Kuu 3.Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka. 4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka 5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka 6. Shika sheria Katoliki za ndoa.
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Marehemu

Featured Image
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Featured Image
Habari za leo wapendwa! Leo tutazungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia. Je, umewahi kujiuliza jinsi Kanisa Katoliki linavyoshughulikia masuala haya? Hebu tuendelee kusoma ili kufahamu zaidi!
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Rehema

Featured Image
Rehema ni nini? Rehema ni msamaha au ondoleo la adhabu ya dhambi tulizostahili sababu ya dhambi zilizokwisha ondolewa
50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact