Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_54164aa733ec9765767affa12ebb3338, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_54164aa733ec9765767affa12ebb3338, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_54164aa733ec9765767affa12ebb3338, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_54164aa733ec9765767affa12ebb3338, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_54164aa733ec9765767affa12ebb3338, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_54164aa733ec9765767affa12ebb3338, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rashid (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yahya (Guest) on May 18, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on April 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on April 13, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chris Okello (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on March 12, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 10, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on January 31, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 31, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on November 17, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 8, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Mrope (Guest) on August 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hamida (Guest) on August 14, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on July 29, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 14, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on July 5, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on June 19, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 8, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joy Wacera (Guest) on March 30, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Martin Otieno (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Shani (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on December 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 17, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on November 24, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on November 10, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Njeru (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Juma (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mwambui (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Lissu (Guest) on April 25, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 21, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 19, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on February 24, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on February 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on January 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on January 11, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kijakazi (Guest) on January 2, 2022

Asante Ackyshine

Shamsa (Guest) on December 23, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Zainab (Guest) on December 20, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_54164aa733ec9765767affa12ebb3338, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3