Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Date: December 19, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ Jina la yule msaliti aliyemwuza Yesu/ limewafanya wengi wakusahau./ Walakini Kanisa zima linakuheshimu/ na kukuomba kama Msaidizi katika mashaka makubwa,/ na katika mambo yasiyo na matumaini tena./
Uniombee mimi mnyonge./ Ninaomba utumie uwezo ule uliojaliwa/ wa kuleta upesi msaada kwa watu walioukosa./ Unisaidie sasa katika mahitaji yangu,/ ili nipate kitulizo na msaada wa mbinguni/ katika lazima zangu,/ masumbuko na mateso,/ hasa/ (taja shida yako)./ Pia ili niweze kumsifu Mungu nawe na wateule wote milele./
Mtakatifu Yuda Tadei,/ utuombee,/ na uwaombee watu wote wanaokuheshimu na kukuomba msaada./
Moyo Mtakatifu wa Yesu,/ Rafiki mpenzi wa Yuda Tadei,/ nakutumainia./
(Mwisho Sali: Baba yetu (x3), Salamu Maria (x3) na Atukuzwe(x3).
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik...
Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ...
Read More
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok...
Read More
Mungu wangu,
natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,
neema zako duniani na ...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M...
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ...
Read More
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
Elizabeth Mtei (Guest) on July 1, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Betty Kimaro (Guest) on July 1, 2024
ðŸ™ðŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie
Henry Mollel (Guest) on May 31, 2024
ðŸ™ðŸŒŸ Mbarikiwe sana
Jane Malecela (Guest) on May 10, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Michael Mboya (Guest) on April 20, 2024
ðŸ™âœ¨ Mungu atupe nguvu
Janet Wambura (Guest) on March 21, 2024
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Jackson Makori (Guest) on March 1, 2024
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Francis Njeru (Guest) on February 27, 2024
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
John Mwangi (Guest) on February 26, 2024
Neema na amani iwe nawe.
Moses Mwita (Guest) on August 4, 2023
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote
Stephen Mushi (Guest) on June 21, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Sarah Mbise (Guest) on June 11, 2023
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Tumwombe Mungu kila siku
Janet Wambura (Guest) on May 17, 2023
ðŸ™ðŸ’–✨ Neema yako ni ya kutosha
Joseph Kiwanga (Guest) on May 14, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
David Sokoine (Guest) on December 17, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Diana Mallya (Guest) on December 8, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Sharon Kibiru (Guest) on October 11, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Ruth Wanjiku (Guest) on September 20, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Athumani (Guest) on June 29, 2022
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Joyce Nkya (Guest) on March 13, 2022
ðŸ™âœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Samuel Omondi (Guest) on March 1, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Paul Ndomba (Guest) on October 22, 2021
ðŸ™âœ¨ðŸ’– Mungu atajibu maombi yako
Diana Mallya (Guest) on June 27, 2021
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu alete amani
Henry Sokoine (Guest) on May 5, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Elizabeth Mrope (Guest) on April 26, 2021
ðŸ™ðŸ’– Asante kwa neema zako Mungu
Joseph Mallya (Guest) on March 31, 2021
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Rose Lowassa (Guest) on January 31, 2021
Amina
Sarah Mbise (Guest) on November 24, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Francis Njeru (Guest) on October 24, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Nancy Akumu (Guest) on August 30, 2020
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe
Janet Wambura (Guest) on August 11, 2020
Nakuombea ðŸ™
Catherine Naliaka (Guest) on August 4, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Agnes Sumaye (Guest) on July 31, 2020
ðŸ™ðŸŒŸ Neema za Mungu zisikose
Hellen Nduta (Guest) on June 5, 2020
Mungu akubariki!
Rose Mwinuka (Guest) on May 5, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Rose Mwinuka (Guest) on April 8, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Lydia Mahiga (Guest) on February 28, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Charles Mboje (Guest) on January 15, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Samuel Omondi (Guest) on January 12, 2020
ðŸ™â¤ï¸ðŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai
David Kawawa (Guest) on December 30, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Ann Awino (Guest) on November 22, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Samuel Were (Guest) on August 27, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
John Malisa (Guest) on August 22, 2019
Dumu katika Bwana.
Alice Mwikali (Guest) on August 3, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Jane Muthui (Guest) on June 7, 2019
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mlinzi wetu
Elizabeth Mrope (Guest) on March 18, 2019
ðŸ™ðŸŒŸâ¤ï¸ Nakuombea heri
Elizabeth Mtei (Guest) on February 6, 2019
Sifa kwa Bwana!
Janet Sumaye (Guest) on December 19, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Anna Sumari (Guest) on November 24, 2018
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Neema za Mungu zikufunike
Frank Macha (Guest) on November 7, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Diana Mumbua (Guest) on March 9, 2018
ðŸ™âœ¨ Mungu atakuinua
Catherine Naliaka (Guest) on March 3, 2018
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Bwana akujalie baraka
David Ochieng (Guest) on February 3, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
Grace Wairimu (Guest) on November 28, 2017
ðŸ™ðŸ’– Nakushukuru Mungu
Jackson Makori (Guest) on November 21, 2017
ðŸ™ðŸ’–💫 Mungu ni mwema
Linda Karimi (Guest) on October 31, 2017
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mwaminifu
Simon Kiprono (Guest) on October 17, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Nancy Kabura (Guest) on September 30, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Lucy Wangui (Guest) on August 28, 2017
ðŸ™âœ¨ Mungu asikie maombi yetu
Isaac Kiptoo (Guest) on July 23, 2017
ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Mungu akujalie furaha