Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7257563a4d916ed6632a1c92c950add9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo
Date: August 3, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, βNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo βNakupenda Mpenziβ?
Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno βNAKUPENDA MPENZIβ
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika
Simu ya 1 β βSamahani, nani mwenzanguβ!
Simu ya 2 β βSamahani, wrong numberβ!
Simu ya 3 β βSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hiiβ!
Simu ya 4 β βMh! leo mvua itanyeshaβ!
Simu ya 5 β βNikija tutaongea zaidiβ!
Simu ya 6 β ββ¦β¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa β¦β¦β!
Simu ya 7 β βMe tooβ!
Simu ya 6 β βHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikomaβ!
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7257563a4d916ed6632a1c92c950add9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ...
Read More
Ni noma!
Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi...
Read More
"MAENEO FLANI ya KISHUA"
-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam...
Read More
Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari...
Read More
Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyesheβ¦
Anna: Kitu gan?...
Read More
High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ...
Read More
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili...
Read More
Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka...
Read More
Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yanguβ¦
Nikagonga mlango Jir...
Read More
ππππ .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N...
Read More
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ...
Read More
Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
Ba...
Read More
Mercy Atieno (Guest) on July 18, 2024
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Brian Karanja (Guest) on June 20, 2024
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Elizabeth Mtei (Guest) on June 6, 2024
Nimeipenda hii joke! ππ
Mary Njeri (Guest) on June 2, 2024
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Lucy Wangui (Guest) on April 1, 2024
ππ€£π
Aziza (Guest) on March 13, 2024
π Siwezi kuacha kucheka!
Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2024
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Mary Mrope (Guest) on February 3, 2024
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2024
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Daniel Obura (Guest) on January 14, 2024
Napenda jokes zenu! ππ
John Mwangi (Guest) on January 11, 2024
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Nancy Komba (Guest) on January 6, 2024
π Naihifadhi hii!
Dorothy Majaliwa (Guest) on December 24, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Guest (Guest) on December 24, 2025
Au sio!
George Wanjala (Guest) on December 21, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Sharon Kibiru (Guest) on November 28, 2023
π Nilihitaji kicheko hicho!
Diana Mumbua (Guest) on November 23, 2023
πππ
Mashaka (Guest) on November 11, 2023
π Siwezi kuacha kucheka!
Josephine Nduta (Guest) on October 21, 2023
Hii ni kali sana! ππ€£
Grace Mligo (Guest) on October 16, 2023
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Alice Jebet (Guest) on October 12, 2023
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Ali (Guest) on September 26, 2023
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Faith Kariuki (Guest) on September 19, 2023
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2023
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Wilson Ombati (Guest) on August 28, 2023
Mna talent ya jokes! ππ
Sharifa (Guest) on August 24, 2023
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Victor Sokoine (Guest) on July 20, 2023
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Shabani (Guest) on July 13, 2023
π Umeimaliza kabisa!
Joseph Kawawa (Guest) on June 9, 2023
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Joseph Mallya (Guest) on May 24, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Rabia (Guest) on May 3, 2023
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2023
ππ€£ππ
Yusra (Guest) on April 13, 2023
π Nilihitaji hii!
Esther Nyambura (Guest) on April 7, 2023
πππ€£
Hamida (Guest) on March 23, 2023
π Hii ni kali sana!
Alice Mwikali (Guest) on March 14, 2023
π€£ππ
Peter Mbise (Guest) on March 11, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Lucy Wangui (Guest) on March 8, 2023
Hii imenikuna sana! ππ
George Mallya (Guest) on March 5, 2023
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2023
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Edward Chepkoech (Guest) on February 3, 2023
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Victor Mwalimu (Guest) on January 29, 2023
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
David Musyoka (Guest) on January 21, 2023
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Joyce Mussa (Guest) on January 4, 2023
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Rose Waithera (Guest) on December 28, 2022
Nimefurahia sana hii! π π
Mariam Hassan (Guest) on December 27, 2022
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Janet Sumari (Guest) on December 25, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Jamila (Guest) on November 23, 2022
π Naihifadhi hii!
Joseph Mallya (Guest) on November 11, 2022
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Sofia (Guest) on October 29, 2022
π Kali sana!
Mgeni (Guest) on October 5, 2022
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Maimuna (Guest) on September 29, 2022
π€£ Sikutarajia hiyo!
Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022
ππ€£π₯
Samuel Were (Guest) on September 13, 2022
Hii ni bomba sana! π€£π
Stephen Mushi (Guest) on August 30, 2022
Hii imenichekesha sana! π€£π
Nora Kidata (Guest) on August 24, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Joyce Nkya (Guest) on August 17, 2022
π€£ππ
Anna Mahiga (Guest) on August 13, 2022
Hii imenichekesha sana! ππ
Patrick Akech (Guest) on August 4, 2022
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ