Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_568dd286893d9fcef6027a94be7c4100, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_568dd286893d9fcef6027a94be7c4100, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_568dd286893d9fcef6027a94be7c4100, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_568dd286893d9fcef6027a94be7c4100, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_568dd286893d9fcef6027a94be7c4100, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_568dd286893d9fcef6027a94be7c4100, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on July 7, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

John Lissu (Guest) on June 15, 2024

😆😂👏

Baraka (Guest) on June 8, 2024

😄 Umenishika vizuri!

Frank Macha (Guest) on May 25, 2024

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Joseph Kawawa (Guest) on May 21, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Christopher Oloo (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Nancy Kabura (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Rose Amukowa (Guest) on February 23, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Monica Nyalandu (Guest) on February 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on January 15, 2024

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Amani (Guest) on January 7, 2024

😆 Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on December 18, 2023

😊🤣🔥

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2023

🤣😆😊😂

Faiza (Guest) on November 28, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2023

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Charles Wafula (Guest) on November 26, 2023

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! 😆😊

Rose Waithera (Guest) on November 6, 2023

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Mushi (Guest) on October 20, 2023

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Njuguna (Guest) on October 4, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Grace Wairimu (Guest) on October 1, 2023

😅 Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on September 15, 2023

😆😅😂

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Lucy Wangui (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Mariam Kawawa (Guest) on July 11, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on July 4, 2023

😄 Umenishika vizuri!

Alice Mrema (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Victor Malima (Guest) on May 20, 2023

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Catherine Mkumbo (Guest) on May 15, 2023

Umesema kweli! 👌😂

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

🤣👍👌

George Wanjala (Guest) on May 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Mzee (Guest) on April 3, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2023

😂😂🤣

Patrick Mutua (Guest) on February 18, 2023

😄😅👏😂

Jackson Makori (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Mary Kidata (Guest) on January 31, 2023

😂🤣😆👏

Mwanaidha (Guest) on January 21, 2023

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Malela (Guest) on December 23, 2022

😆 Nacheka hadi chini!

Biashara (Guest) on December 14, 2022

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Abdullah (Guest) on October 26, 2022

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on October 24, 2022

😂 Nacheka hadi nalia!

Mary Mrope (Guest) on October 18, 2022

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Josephine Nekesa (Guest) on October 6, 2022

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Robert Ndunguru (Guest) on August 26, 2022

👏🤣😆😂

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2022

🤣🤣👏😆

Anna Malela (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Peter Mugendi (Guest) on July 17, 2022

😂😅

Frank Sokoine (Guest) on July 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

Brian Karanja (Guest) on July 8, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Baridi (Guest) on June 13, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Mary Njeri (Guest) on June 11, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Hellen Nduta (Guest) on May 2, 2022

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Lissu (Guest) on April 12, 2022

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fadhila (Guest) on April 10, 2022

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on April 3, 2022

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2022

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Samuel Were (Guest) on March 25, 2022

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_568dd286893d9fcef6027a94be7c4100, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact