Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fa6c14bff94216f023a1bc9cea5c1d6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fa6c14bff94216f023a1bc9cea5c1d6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fa6c14bff94216f023a1bc9cea5c1d6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fa6c14bff94216f023a1bc9cea5c1d6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fa6c14bff94216f023a1bc9cea5c1d6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fa6c14bff94216f023a1bc9cea5c1d6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Akech (Guest) on July 7, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Sumari (Guest) on July 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Peter Otieno (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Peter Mugendi (Guest) on June 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on June 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on May 27, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Diana Mumbua (Guest) on May 24, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on May 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 15, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Violet Mumo (Guest) on April 27, 2024

Asante Ackyshine

Elizabeth Mtei (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Masika (Guest) on March 28, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Kimotho (Guest) on March 14, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Rahma (Guest) on February 28, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Patrick Akech (Guest) on February 5, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 30, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 13, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Kenneth Murithi (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on August 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on July 30, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on July 20, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mwafirika (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anna Sumari (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Arifa (Guest) on May 27, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edith Cherotich (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on March 16, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Kevin Maina (Guest) on March 15, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Salma (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Shamim (Guest) on February 21, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Raha (Guest) on December 24, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on December 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on November 12, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on November 11, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on October 25, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 19, 2022

🀣πŸ”₯😊

Emily Chepngeno (Guest) on September 30, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nashon (Guest) on August 31, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Sumaye (Guest) on July 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on June 5, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on May 30, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 18, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarafina (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on April 28, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on April 15, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on March 17, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Sumari (Guest) on March 8, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Alex Nyamweya (Guest) on February 20, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on February 13, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on February 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on January 2, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Umi (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Kahina (Guest) on December 21, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fa6c14bff94216f023a1bc9cea5c1d6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3