Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d3a6e499a43ca75eab1f1d49cf8860d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d3a6e499a43ca75eab1f1d49cf8860d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d3a6e499a43ca75eab1f1d49cf8860d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d3a6e499a43ca75eab1f1d49cf8860d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d3a6e499a43ca75eab1f1d49cf8860d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d3a6e499a43ca75eab1f1d49cf8860d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on April 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on April 27, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on April 23, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on April 4, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on April 1, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Kawawa (Guest) on March 15, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 4, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on February 7, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nashon (Guest) on February 7, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on January 31, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Sarah Achieng (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mhina (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Rukia (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Malima (Guest) on December 3, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on November 30, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Kimotho (Guest) on November 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on September 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hassan (Guest) on September 16, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on September 1, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Khadija (Guest) on August 12, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 25, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Umi (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 21, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jamal (Guest) on June 17, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kheri (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 22, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Wambura (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Mwangi (Guest) on May 9, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chum (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jafari (Guest) on April 6, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Mushi (Guest) on April 6, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on March 20, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Robert Ndunguru (Guest) on March 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on February 25, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on February 14, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Patrick Mutua (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Kamau (Guest) on January 28, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mbise (Guest) on December 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on November 25, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on November 24, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Asha (Guest) on November 23, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nchi (Guest) on November 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Mutua (Guest) on October 8, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

James Kimani (Guest) on September 28, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on September 18, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Ruth Mtangi (Guest) on September 16, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jabir (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Mahiga (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on July 12, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on May 21, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on May 13, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d3a6e499a43ca75eab1f1d49cf8860d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact