Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a161076323b8d5d36cb55cc1d40b29c7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jamaa mpenda michepuko kapatikana
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.
Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:- MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALE 😋😋😋😋😋😋😋😋 Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha 😂😂😂😂😂😂😂😂
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a161076323b8d5d36cb55cc1d40b29c7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki...
Read More
Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi...
Read More
High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ...
Read More
Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ...
Read More
Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA : Nipe soda moja na kila mtu mpe ya...
Read More
Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe...
Read More
Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ...
Read More
UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali...
Read More
1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!
2. Kwenu kuc...
Read More
CHEKA KIDOGO
Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo...
Read More
WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO
MLEVI 1 hivi rafiki ...
Read More
Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj...
Read More
Lydia Wanyama (Guest) on April 1, 2022
🤣😄😊
Esther Nyambura (Guest) on March 31, 2022
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆
Samson Mahiga (Guest) on March 23, 2022
🤣 Kichekesho bora kabisa!
Jackson Makori (Guest) on January 10, 2022
Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣
Edward Lowassa (Guest) on December 29, 2021
Huyu alikuwa na point! 😂👌
Mary Mrope (Guest) on December 24, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂
Patrick Kidata (Guest) on December 23, 2021
😂🤣😆😅
Grace Mligo (Guest) on December 21, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
Stephen Kangethe (Guest) on December 4, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂
Lucy Mushi (Guest) on November 20, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣
Zainab (Guest) on October 28, 2021
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁
Nasra (Guest) on October 23, 2021
😁 Hii ni hazina ya kichekesho!
Mazrui (Guest) on October 6, 2021
🤣 Sikutarajia hiyo!
Linda Karimi (Guest) on September 25, 2021
Kama kawaida! Bado nacheka! 😄
Josephine Nduta (Guest) on August 31, 2021
😂 Nimeipenda kabisa hii!
Mary Kendi (Guest) on August 14, 2021
😂 Siwezi kuacha kucheka!
Khadija (Guest) on June 3, 2021
😂 Kali sana!
Nicholas Wanjohi (Guest) on April 18, 2021
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣
Charles Mboje (Guest) on April 16, 2021
Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆
Mary Kidata (Guest) on April 16, 2021
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄
Martin Otieno (Guest) on February 22, 2021
Hii ni kali sana! 😂🤣
Lucy Kimotho (Guest) on February 7, 2021
🤣🔥😊
Nancy Kabura (Guest) on January 30, 2021
Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆
John Lissu (Guest) on January 19, 2021
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂
Victor Sokoine (Guest) on January 9, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂
Charles Mchome (Guest) on December 19, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅
Alice Wanjiru (Guest) on November 5, 2020
😅😊😂👏
Shamim (Guest) on October 23, 2020
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯
James Kimani (Guest) on October 21, 2020
😂👌
Hassan (Guest) on October 20, 2020
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Michael Onyango (Guest) on October 17, 2020
😂😂🤣
Alex Nakitare (Guest) on October 13, 2020
Hii ni bomba sana! 🤣👍
Mohamed (Guest) on October 12, 2020
🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Victor Kimario (Guest) on August 27, 2020
Hii imenifurahisha kweli! 😆😂
Dorothy Majaliwa (Guest) on July 4, 2020
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂
Nancy Kawawa (Guest) on June 27, 2020
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅
Mariam Hassan (Guest) on June 18, 2020
🤣😭😆
Francis Mtangi (Guest) on June 11, 2020
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆
Joseph Njoroge (Guest) on June 2, 2020
😆😂👏
Wilson Ombati (Guest) on May 22, 2020
Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏
Peter Mugendi (Guest) on May 21, 2020
😊😂🤣
Salma (Guest) on May 15, 2020
😅 Bado nacheka!
Lucy Mahiga (Guest) on May 7, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆
Kenneth Murithi (Guest) on April 17, 2020
😂🤣😆👏
Leila (Guest) on April 16, 2020
😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Abubakar (Guest) on April 14, 2020
🤣 Sikutarajia hiyo!
David Sokoine (Guest) on March 22, 2020
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
Paul Kamau (Guest) on March 16, 2020
🤣 Hii imewaka moto!
Lydia Mutheu (Guest) on February 23, 2020
😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!
Amani (Guest) on January 7, 2020
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆
Anthony Kariuki (Guest) on January 3, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂
Jane Malecela (Guest) on December 16, 2019
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2019
Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂
Andrew Mchome (Guest) on December 5, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Alice Wanjiru (Guest) on December 4, 2019
😆 Naihifadhi hii!
Husna (Guest) on November 17, 2019
😁 Kicheko bora ya siku!
Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2019
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆
Moses Kipkemboi (Guest) on October 29, 2019
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
Josephine Nekesa (Guest) on October 27, 2019
😆 Kali sana!
Raha (Guest) on September 24, 2019
😂 Hii ni kali sana!