Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d8sci7etdm31thordtgj59ghg, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe nami leo hii,
Kuniangaza na kunilinda,
Kunitawala na kuniongoza.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d8sci7etdm31thordtgj59ghg, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ...
Read More
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
...
Read More
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh...
Read More
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w...
Read More
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida...
Read More
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
Agnes Lowassa (Guest) on October 5, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Victor Malima (Guest) on September 1, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Stephen Kikwete (Guest) on August 27, 2017
🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo
Thomas Mtaki (Guest) on May 10, 2017
🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu
Brian Karanja (Guest) on May 2, 2017
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 30, 2017
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Victor Malima (Guest) on February 7, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Peter Mbise (Guest) on January 16, 2017
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Grace Mushi (Guest) on January 9, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Lydia Mutheu (Guest) on October 7, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Stephen Mushi (Guest) on September 24, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Jane Muthui (Guest) on July 29, 2016
🙏🙏🙏
Lydia Mzindakaya (Guest) on July 12, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Charles Mrope (Guest) on May 18, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Janet Sumari (Guest) on April 28, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mary Sokoine (Guest) on April 3, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Lucy Mushi (Guest) on March 29, 2016
🙏💖💫 Mungu ni mwema
Edwin Ndambuki (Guest) on January 8, 2016
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Peter Tibaijuka (Guest) on October 16, 2015
🙏❤️ Mungu akubariki
Monica Adhiambo (Guest) on August 28, 2015
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Francis Mtangi (Guest) on August 17, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Betty Kimaro (Guest) on April 22, 2015
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha