Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_26235a02e8069b009d0a19afe1484719, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu. Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_26235a02e8069b009d0a19afe1484719, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto...
Read More
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T...
Read More
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w...
Read More
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa...
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M...
Read More
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More
Elizabeth Mtei (Guest) on February 4, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017
Sifa kwa Bwana!
Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Malima (Guest) on March 24, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017
Mungu akubariki!
Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017
Mwamini katika mpango wake.
Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Kahina (Guest) on January 20, 2016
🙏🙏🙏
Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016
🙏💖 Nakusihi Mungu
Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015
🙏🌟❤️ Nakuombea heri
Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015
Rehema zake hudumu milele
Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
David Kawawa (Guest) on May 9, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu