Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d93db5bd2d01fc5fb654587b668cd68b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kutujaza mapaji saba ya Roho Mtakatifu.
TUOMBE
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, kwa wema na huruma yako ya ajabu, umetaka watu wako waokoke, ukamweka Malaika Mkuu Mikaeli kuwa Mkuu wa Kanisa lako, Utukinge na adui zetu, wasitusmbue saa ya kufa kwetu, bali tuongozwe naye kwenye utukufu wako Mkuu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Amina.
Utuombee Ee Mtukufu Mtakatifu Mikaeli Mkuu wa Kanisa la Yesu Kristo, tujaliwe ahadi za Kristo. Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d93db5bd2d01fc5fb654587b668cd68b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw...
Read More
Mungu wangu,
natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,
neema zako duniani na ...
Read More
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,...
Read More
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ...
Read More
Michael Mboya (Guest) on June 18, 2018
🙏❤️ Mungu akubariki
James Malima (Guest) on June 13, 2018
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Thomas Mtaki (Guest) on April 10, 2018
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
Henry Sokoine (Guest) on March 25, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Grace Njuguna (Guest) on March 9, 2018
Baraka kwako na familia yako.
Michael Onyango (Guest) on December 16, 2017
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Nora Lowassa (Guest) on November 12, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Margaret Anyango (Guest) on October 30, 2017
🙏✨ Mungu atupe nguvu
Charles Mchome (Guest) on August 10, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
James Kawawa (Guest) on April 23, 2017
🙏🌟 Mungu alete amani
Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Linda Karimi (Guest) on September 18, 2016
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Joyce Aoko (Guest) on September 8, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
Grace Majaliwa (Guest) on July 12, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
Jane Malecela (Guest) on January 2, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Joyce Mussa (Guest) on December 15, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2015
Sifa kwa Bwana!
Mercy Atieno (Guest) on October 25, 2015
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Charles Wafula (Guest) on October 9, 2015
🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu
David Sokoine (Guest) on July 17, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
James Kawawa (Guest) on April 24, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako