Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5e98c5ec4af02eadb6bff1fa3765b5da, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kutujaza mapaji saba ya Roho Mtakatifu.
TUOMBE
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, kwa wema na huruma yako ya ajabu, umetaka watu wako waokoke, ukamweka Malaika Mkuu Mikaeli kuwa Mkuu wa Kanisa lako, Utukinge na adui zetu, wasitusmbue saa ya kufa kwetu, bali tuongozwe naye kwenye utukufu wako Mkuu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Amina.
Utuombee Ee Mtukufu Mtakatifu Mikaeli Mkuu wa Kanisa la Yesu Kristo, tujaliwe ahadi za Kristo. Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5e98c5ec4af02eadb6bff1fa3765b5da, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w...
Read More
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M...
Read More
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote...
Read More
Read More
Mungu wangu,
natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,
neema zako duniani na ...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ...
Read More
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.
SALA YA KUSHUKURU
Tunakus...
Read More
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako...
Read More
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More
Michael Mboya (Guest) on June 18, 2018
🙏❤️ Mungu akubariki
James Malima (Guest) on June 13, 2018
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Thomas Mtaki (Guest) on April 10, 2018
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
Henry Sokoine (Guest) on March 25, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Grace Njuguna (Guest) on March 9, 2018
Baraka kwako na familia yako.
Michael Onyango (Guest) on December 16, 2017
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Nora Lowassa (Guest) on November 12, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Margaret Anyango (Guest) on October 30, 2017
🙏✨ Mungu atupe nguvu
Charles Mchome (Guest) on August 10, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
James Kawawa (Guest) on April 23, 2017
🙏🌟 Mungu alete amani
Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Linda Karimi (Guest) on September 18, 2016
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Joyce Aoko (Guest) on September 8, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
Grace Majaliwa (Guest) on July 12, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
Jane Malecela (Guest) on January 2, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Joyce Mussa (Guest) on December 15, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2015
Sifa kwa Bwana!
Mercy Atieno (Guest) on October 25, 2015
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Charles Wafula (Guest) on October 9, 2015
🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu
David Sokoine (Guest) on July 17, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
James Kawawa (Guest) on April 24, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako