Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2d1ee2f914d8584f18533a7d3342af67, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./
Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./
Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d8425bfe8df8832685e279276931cee, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Read More
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu....
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut...
Read More
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Enyi Yesu na Maria na Yosefu,
nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.
Enyi Yesu na M...
Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETUβ¦β¦β¦β¦β...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum...
Read More
Anna Sumari (Guest) on September 20, 2017
ππ Mungu alete amani
Carol Nyakio (Guest) on September 1, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Andrew Mahiga (Guest) on May 11, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Margaret Mahiga (Guest) on February 8, 2017
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Rose Waithera (Guest) on January 17, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Philip Nyaga (Guest) on January 12, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
David Sokoine (Guest) on October 28, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Linda Karimi (Guest) on September 28, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2016
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Joyce Aoko (Guest) on August 25, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
Edward Lowassa (Guest) on August 19, 2016
ππ Nakusihi Mungu
Monica Lissu (Guest) on June 27, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
John Lissu (Guest) on June 10, 2016
πππ Mungu akufunike na upendo
Hellen Nduta (Guest) on April 11, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Simon Kiprono (Guest) on February 26, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
Emily Chepngeno (Guest) on February 2, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Brian Karanja (Guest) on November 5, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mary Mrope (Guest) on October 10, 2015
ππ Neema za Mungu zisikose
Nancy Kabura (Guest) on September 27, 2015
Mwamini katika mpango wake.
Joy Wacera (Guest) on August 5, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Stephen Kikwete (Guest) on July 29, 2015
ππ Mungu akujalie amani
Anna Mahiga (Guest) on July 1, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
David Musyoka (Guest) on June 7, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha