Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_106817d8b1f850ea94e7dda4dc022801, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Sala ya Malaika wa Bwana
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….
Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..
Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.
Tuombe:
Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_924b808f19caa8cc57d1c46668fb486b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut...
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes...
Read More
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za...
Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y...
Read More
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6cd4ed2498089f097434a2bf3771206e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Charles Mrope (Guest) on June 22, 2017
Mungu ni mwema, wakati wote!
Catherine Naliaka (Guest) on June 19, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2017
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
John Mushi (Guest) on April 10, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2017
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Zakaria (Guest) on March 10, 2017
🙏🙏🙏
Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2016
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2016
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Irene Makena (Guest) on October 2, 2016
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Anna Malela (Guest) on September 26, 2016
Mungu akubariki!
Anna Mahiga (Guest) on August 17, 2016
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Christopher Oloo (Guest) on May 7, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
David Sokoine (Guest) on May 3, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Janet Sumari (Guest) on January 30, 2016
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
James Malima (Guest) on December 7, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2015
🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike
Alice Mwikali (Guest) on August 11, 2015
🙏❤️ Mungu akubariki
Vincent Mwangangi (Guest) on July 9, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Joseph Kitine (Guest) on July 6, 2015
🙏🙏🙏
John Mushi (Guest) on June 12, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia