Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ebfcb6028730fbcf5dbc1133992d8b8a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Date: July 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.
Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4491a8a4fd5ce1798600f54a941a49eb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov...
Read More
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,...
Read More
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok...
Read More
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush...
Read More
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za...
Read More
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ...
Read More
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017
Neema na amani iwe nawe.
Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
James Mduma (Guest) on October 7, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
John Lissu (Guest) on January 13, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015
🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu
Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015
🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku
John Malisa (Guest) on June 11, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi