Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_l9i43carltsk9kacuq0ijqdaap, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Date: July 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.
Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_l9i43carltsk9kacuq0ijqdaap, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu....
Read More
Read More
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes...
Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ...
Read More
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ...
Read More
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush...
Read More
Enyi Yesu na Maria na Yosefu,
nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.
Enyi Yesu na M...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017
Neema na amani iwe nawe.
Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016
ππ Mbarikiwe sana
Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
James Mduma (Guest) on October 7, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
John Lissu (Guest) on January 13, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
John Malisa (Guest) on June 11, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi