Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6464ca6faa6292c79b3f1c426de3a6b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Date: July 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.
Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_57857249645cfe0f855f05026d145874, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ...
Read More
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes...
Read More
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote...
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa...
Read More
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017
Neema na amani iwe nawe.
Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
James Mduma (Guest) on October 7, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
John Lissu (Guest) on January 13, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015
🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu
Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015
🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku
John Malisa (Guest) on June 11, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi