Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4bbe724c0cfdd9a9946e8003f222cfd1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Date: May 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia kipato chao na kulisha familia zao.
Wewe u Msimamizi wa wafanyakazi, tujalie kwamba pasiwepo kati yetu mtu asiye na ajira, na kwamba wale wote ambao wako tayari kufanya kazi waweze kuelekeza nguvu zao na uwezo wao katika kuwatumikia wanadamu wenzao na kujipatia kipato halali.
Wewe u Msimamizi wa familia, usiwaache wale wenye watoto wa kuwatunza na kuwalea wakose namna ya kufanya hivyo. Uwahurumie ndugu zetu waliokosa ajira na kugubikwa na umasikini kwa sababu ya magonjwa au mipango mibaya ya kijamii. Wasaidie viongozi wetu wa kisiasa na walioshika usukani katika nyanja mbalimbali za kiuzalishaji wavumbue suluhu mpya na za haki za jambo hili. Utujalie ili kila mmoja wetu apate kujipatia kipato halali na kufurahia fursa ya kushiriki kadri ya uwezo wake, katika maisha bora zaidi kwa wote. Utujalie ili wote tushiriki pamoja katika raslimali alizotujalia Mungu, na pia utujalie tuwe tayari daima kuwasaidia wale walio wahitaji kuliko sisi.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4bbe724c0cfdd9a9946e8003f222cfd1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa...
Read More
Kwa jina la Baba…..
Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.
Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M...
Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote...
Read More
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina...
Read More
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w...
Read More
Elijah Mutua (Guest) on February 4, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Ruth Mtangi (Guest) on January 8, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Nancy Akumu (Guest) on December 20, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Agnes Njeri (Guest) on December 9, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Alice Jebet (Guest) on November 11, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Dorothy Nkya (Guest) on October 14, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Agnes Lowassa (Guest) on September 12, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Muslima (Guest) on July 14, 2016
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Janet Mbithe (Guest) on July 11, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Hellen Nduta (Guest) on May 21, 2016
ðŸ™ðŸŒŸ Neema za Mungu zisikose
Jackson Makori (Guest) on April 24, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 18, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Francis Njeru (Guest) on February 14, 2016
ðŸ™â¤ï¸ Mungu akubariki
Christopher Oloo (Guest) on January 25, 2016
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu akujalie amani
Andrew Mchome (Guest) on November 16, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
Ann Awino (Guest) on September 30, 2015
ðŸ™âœ¨ Mungu atupe nguvu
David Musyoka (Guest) on September 2, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Carol Nyakio (Guest) on July 6, 2015
ðŸ™ðŸ’–✨ Neema yako ni ya kutosha
Isaac Kiptoo (Guest) on July 5, 2015
Rehema hushinda hukumu
Rose Waithera (Guest) on June 23, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Robert Ndunguru (Guest) on June 12, 2015
Tumaini ni nanga ya roho
Emily Chepngeno (Guest) on June 4, 2015
Sifa kwa Bwana!
Edwin Ndambuki (Guest) on April 28, 2015
Imani inaweza kusogeza milima