Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_233722a65621e6fd061b77724911e7a7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Date: May 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia kipato chao na kulisha familia zao.
Wewe u Msimamizi wa wafanyakazi, tujalie kwamba pasiwepo kati yetu mtu asiye na ajira, na kwamba wale wote ambao wako tayari kufanya kazi waweze kuelekeza nguvu zao na uwezo wao katika kuwatumikia wanadamu wenzao na kujipatia kipato halali.
Wewe u Msimamizi wa familia, usiwaache wale wenye watoto wa kuwatunza na kuwalea wakose namna ya kufanya hivyo. Uwahurumie ndugu zetu waliokosa ajira na kugubikwa na umasikini kwa sababu ya magonjwa au mipango mibaya ya kijamii. Wasaidie viongozi wetu wa kisiasa na walioshika usukani katika nyanja mbalimbali za kiuzalishaji wavumbue suluhu mpya na za haki za jambo hili. Utujalie ili kila mmoja wetu apate kujipatia kipato halali na kufurahia fursa ya kushiriki kadri ya uwezo wake, katika maisha bora zaidi kwa wote. Utujalie ili wote tushiriki pamoja katika raslimali alizotujalia Mungu, na pia utujalie tuwe tayari daima kuwasaidia wale walio wahitaji kuliko sisi.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_233722a65621e6fd061b77724911e7a7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A...
Read More
Kwa jina la Baba…..
Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.
Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M...
Read More
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz...
Read More
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik...
Read More
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya...
Read More
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee...
Read More
Elijah Mutua (Guest) on February 4, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Ruth Mtangi (Guest) on January 8, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Nancy Akumu (Guest) on December 20, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Agnes Njeri (Guest) on December 9, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Alice Jebet (Guest) on November 11, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Dorothy Nkya (Guest) on October 14, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Agnes Lowassa (Guest) on September 12, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Muslima (Guest) on July 14, 2016
🙏🙏🙏
Janet Mbithe (Guest) on July 11, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Hellen Nduta (Guest) on May 21, 2016
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
Jackson Makori (Guest) on April 24, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 18, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Francis Njeru (Guest) on February 14, 2016
🙏❤️ Mungu akubariki
Christopher Oloo (Guest) on January 25, 2016
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Andrew Mchome (Guest) on November 16, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
Ann Awino (Guest) on September 30, 2015
🙏✨ Mungu atupe nguvu
David Musyoka (Guest) on September 2, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Carol Nyakio (Guest) on July 6, 2015
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
Isaac Kiptoo (Guest) on July 5, 2015
Rehema hushinda hukumu
Rose Waithera (Guest) on June 23, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Robert Ndunguru (Guest) on June 12, 2015
Tumaini ni nanga ya roho
Emily Chepngeno (Guest) on June 4, 2015
Sifa kwa Bwana!
Edwin Ndambuki (Guest) on April 28, 2015
Imani inaweza kusogeza milima