Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_u3brp958n3q1q0v0epvjc4k9bo, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Sala ya Saa Tisa
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina
Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.
β£ββ£
βEe Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.
(Mara tatu)
πβ£π
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_u3brp958n3q1q0v0epvjc4k9bo, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.
Kwenye Msalaba Sali:
...
Read More
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya...
Read More
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako...
Read More
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni...
Read More
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A...
Read More
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
Anna Malela (Guest) on September 29, 2017
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Brian Karanja (Guest) on August 7, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
John Malisa (Guest) on July 11, 2017
Rehema hushinda hukumu
Lucy Mushi (Guest) on March 14, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Lucy Kimotho (Guest) on February 15, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
John Lissu (Guest) on January 17, 2017
πππ
Andrew Odhiambo (Guest) on December 20, 2016
Baraka kwako na familia yako.
Carol Nyakio (Guest) on December 18, 2016
Amina
Christopher Oloo (Guest) on September 29, 2016
Sifa kwa Bwana!
Thomas Mtaki (Guest) on September 20, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Monica Adhiambo (Guest) on September 3, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
Charles Mboje (Guest) on August 12, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Henry Mollel (Guest) on April 28, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Janet Wambura (Guest) on April 26, 2016
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Wilson Ombati (Guest) on April 14, 2016
ππ Mungu akujalie amani
John Mushi (Guest) on October 10, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Charles Mrope (Guest) on August 25, 2015
ππ Mungu wetu asifiwe
Anna Mchome (Guest) on August 9, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Stephen Mushi (Guest) on June 8, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Wilson Ombati (Guest) on May 29, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Peter Mugendi (Guest) on May 28, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia