Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ad6e417ca2d74a5f2ac9343bc5ade526, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema
Date: September 2, 2023
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
KUMBUKA
Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.
Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako, nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_72f54428ece394ec9a18dd3ca7484595, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida...
Read More
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka...
Read More
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
Mungu wangu,
natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,
neema zako duniani na ...
Read More
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w...
Read More
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako...
Read More
Miriam Mchome (Guest) on October 15, 2017
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
Nicholas Wanjohi (Guest) on May 16, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Irene Akoth (Guest) on April 13, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Ann Wambui (Guest) on March 31, 2017
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Janet Sumaye (Guest) on March 10, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Peter Mwambui (Guest) on February 9, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Patrick Akech (Guest) on January 30, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Emily Chepngeno (Guest) on August 29, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2016
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Nancy Komba (Guest) on August 7, 2016
🙏✨ Mungu atupe nguvu
Thomas Mwakalindile (Guest) on June 12, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
Peter Tibaijuka (Guest) on April 14, 2016
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
Mwanajuma (Guest) on March 13, 2016
🙏🙏🙏
Anna Sumari (Guest) on January 28, 2016
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2016
Sifa kwa Bwana!
Margaret Anyango (Guest) on October 19, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Rose Mwinuka (Guest) on September 11, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Christopher Oloo (Guest) on September 10, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Ann Awino (Guest) on June 5, 2015
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2015
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Benjamin Masanja (Guest) on May 4, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia