Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_52bee8ec1d866038830fa040dc4b6040, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_52bee8ec1d866038830fa040dc4b6040, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_52bee8ec1d866038830fa040dc4b6040, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_52bee8ec1d866038830fa040dc4b6040, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_52bee8ec1d866038830fa040dc4b6040, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_52bee8ec1d866038830fa040dc4b6040, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwanakhamis (Guest) on July 3, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Zuhura (Guest) on June 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Leila (Guest) on May 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on May 2, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on April 18, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on April 7, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on March 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on March 7, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Kawawa (Guest) on February 17, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Amollo (Guest) on February 14, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Sokoine (Guest) on February 9, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on January 31, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Michael Mboya (Guest) on December 4, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarafina (Guest) on October 31, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Patrick Mutua (Guest) on October 17, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on October 12, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shani (Guest) on September 28, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 27, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on September 6, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rukia (Guest) on August 15, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Chepkoech (Guest) on August 14, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on August 13, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Mligo (Guest) on July 17, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on July 15, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

David Chacha (Guest) on June 21, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on June 14, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lydia Wanyama (Guest) on May 24, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on April 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on January 29, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Mrema (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Josephine Nduta (Guest) on January 11, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Baridi (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Rose Mwinuka (Guest) on October 9, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Amir (Guest) on October 4, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on September 26, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Betty Cheruiyot (Guest) on September 6, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Raha (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on July 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on July 26, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Jackson Makori (Guest) on July 26, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 26, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on May 31, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on May 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Esther Nyambura (Guest) on May 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on April 13, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on April 11, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Alice Wanjiru (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Josephine (Guest) on April 6, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Agnes Njeri (Guest) on March 21, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on February 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on January 8, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on December 27, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_52bee8ec1d866038830fa040dc4b6040, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact