Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af1b5c45ec1e7d3b30179d6208fb6312, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a117e186746810d611ce037a3b02114b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2c9f2d61b6a64de7954c55c68c875583, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ec8cda571a2ea41c2d0f71aed5dbadf2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2f7a0832b4bb8bf1b85fe6260a80c5c0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_573bce4bb55802b636a65f58e5eb41e3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Henry Mollel (Guest) on July 19, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Furaha (Guest) on July 8, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Sokoine (Guest) on June 28, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on June 5, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on May 25, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salma (Guest) on May 22, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on May 19, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on May 15, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on May 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Tabitha Okumu (Guest) on March 24, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on March 13, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 10, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on March 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 7, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Josephine (Guest) on January 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Lowassa (Guest) on December 28, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on December 17, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on December 3, 2021

Asante Ackyshine

Violet Mumo (Guest) on November 22, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on November 10, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on August 23, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sarah Mbise (Guest) on August 21, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on August 19, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Abubakari (Guest) on August 5, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Kidata (Guest) on July 31, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on July 13, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on July 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 8, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Andrew Odhiambo (Guest) on June 2, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Salum (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Salima (Guest) on May 12, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Mbise (Guest) on April 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 17, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Rose Lowassa (Guest) on January 20, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Stephen Mushi (Guest) on December 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Baridi (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Francis Mtangi (Guest) on September 27, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on September 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on September 8, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarah Achieng (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on August 16, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mhina (Guest) on August 3, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on April 8, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on March 10, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Faith Kariuki (Guest) on March 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on February 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 8, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Frank Macha (Guest) on January 8, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Henry Sokoine (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b4d3cdbf02932a299aedc3f20b5eab4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3