Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Wambura (Guest) on July 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on May 29, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 28, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on April 6, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on March 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on February 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on February 12, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Cheruiyot (Guest) on February 2, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Wande (Guest) on January 28, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Christopher Oloo (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on December 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Tenga (Guest) on December 17, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on December 15, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Wanjala (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mary Njeri (Guest) on December 6, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 28, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Chris Okello (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on October 5, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kahina (Guest) on September 25, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Ndomba (Guest) on September 20, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on September 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samson Mahiga (Guest) on August 17, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on July 31, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salum (Guest) on July 19, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on July 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Fredrick Mutiso (Guest) on June 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ann Wambui (Guest) on June 11, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Selemani (Guest) on May 23, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Abubakari (Guest) on May 15, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sarafina (Guest) on May 12, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Nyerere (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on May 3, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on April 20, 2019

😊🀣πŸ”₯

Benjamin Kibicho (Guest) on April 20, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

John Mwangi (Guest) on March 26, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on March 20, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Sofia (Guest) on January 28, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Jamila (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on November 9, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 4, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on October 10, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kendi (Guest) on September 12, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on September 4, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on August 27, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on August 24, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on July 23, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on July 12, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on June 23, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on June 20, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Achieng (Guest) on June 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdillah (Guest) on May 27, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on May 14, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Malisa (Guest) on May 3, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Grace Mligo (Guest) on April 27, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Related Posts

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3