Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on May 31, 2020

😂 Nacheka hadi nalia!

Rose Lowassa (Guest) on May 20, 2020

😂🤣😆😅

Victor Sokoine (Guest) on February 24, 2020

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

David Chacha (Guest) on February 24, 2020

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joyce Mussa (Guest) on February 24, 2020

😅😂😄

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2019

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Alice Mwikali (Guest) on December 14, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Janet Mbithe (Guest) on October 24, 2019

😊🤣🔥

Josephine Nduta (Guest) on October 5, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Stephen Mushi (Guest) on September 11, 2019

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Janet Sumaye (Guest) on August 23, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Joseph Kiwanga (Guest) on August 18, 2019

😂🤣😆

John Kamande (Guest) on August 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Umi (Guest) on August 3, 2019

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Sokoine (Guest) on June 24, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2019

🤣🔥😊

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2019

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Rukia (Guest) on May 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂

Lucy Mahiga (Guest) on May 22, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

Lucy Mahiga (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Joseph Kiwanga (Guest) on April 15, 2019

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Neema (Guest) on April 13, 2019

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Grace Majaliwa (Guest) on February 21, 2019

😅😂👌😊

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Janet Sumari (Guest) on January 22, 2019

😄 Kichekesho kamili!

Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂

James Kimani (Guest) on November 30, 2018

🤣😭😆

Betty Cheruiyot (Guest) on November 10, 2018

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Kahina (Guest) on October 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Amina (Guest) on October 7, 2018

😄 Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2018

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

George Ndungu (Guest) on September 28, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Shamim (Guest) on September 26, 2018

😆 Hii imenigonga kweli!

Mchuma (Guest) on September 23, 2018

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Mrope (Guest) on September 22, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Sofia (Guest) on September 22, 2018

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Zakaria (Guest) on September 19, 2018

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

Khamis (Guest) on August 28, 2018

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Jebet (Guest) on August 26, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Samson Mahiga (Guest) on August 26, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Maida (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! 😃

Mashaka (Guest) on August 2, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Nchi (Guest) on July 11, 2018

🤣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on June 22, 2018

😂 Siwezi kuacha kucheka!

David Sokoine (Guest) on June 10, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

David Nyerere (Guest) on May 31, 2018

😂👏😅🤣

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2018

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Aziza (Guest) on March 22, 2018

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kahina (Guest) on March 14, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏

Fredrick Mutiso (Guest) on March 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Patrick Mutua (Guest) on March 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂

Lucy Mushi (Guest) on February 22, 2018

😆👏😂😄

Anna Mchome (Guest) on February 10, 2018

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on February 3, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Related Posts

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9796d52b78e5a945b1cc36433fd3706, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact