Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_br2hrsbj679ukqmqbvhl5vjh48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_br2hrsbj679ukqmqbvhl5vjh48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_br2hrsbj679ukqmqbvhl5vjh48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_br2hrsbj679ukqmqbvhl5vjh48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_br2hrsbj679ukqmqbvhl5vjh48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
😀😀😀😀

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_br2hrsbj679ukqmqbvhl5vjh48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Amukowa (Guest) on December 1, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Lydia Wanyama (Guest) on November 8, 2019

Kweli mna ucheshi! 😂🤣

Nasra (Guest) on November 8, 2019

😆 Nacheka hadi chini!

Charles Wafula (Guest) on September 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Henry Sokoine (Guest) on September 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Edward Chepkoech (Guest) on September 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Mary Kidata (Guest) on September 5, 2019

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on August 27, 2019

😆 Ninakufa hapa!

Joseph Njoroge (Guest) on August 26, 2019

😂 Lazima nihifadhi hii!

Rahma (Guest) on August 24, 2019

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Daniel Obura (Guest) on August 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2019

Hii imenikuna sana! 😆😅

Patrick Mutua (Guest) on June 30, 2019

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Malecela (Guest) on May 13, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Nora Lowassa (Guest) on May 8, 2019

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nakitare (Guest) on April 24, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Dorothy Nkya (Guest) on April 20, 2019

😆😂😊

Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Paul Kamau (Guest) on April 9, 2019

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Mboya (Guest) on April 3, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Thomas Mtaki (Guest) on March 12, 2019

🤣👍👌

Peter Mugendi (Guest) on March 8, 2019

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Lydia Mahiga (Guest) on March 4, 2019

😆😅😂

Elizabeth Mrema (Guest) on March 3, 2019

😊😂😅👏

Benjamin Masanja (Guest) on February 27, 2019

🤣 Hii imewaka moto!

Joseph Kiwanga (Guest) on February 17, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2019

Mna talent ya jokes! 👏😂

Issa (Guest) on January 10, 2019

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Latifa (Guest) on December 31, 2018

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

James Malima (Guest) on December 20, 2018

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Mushi (Guest) on November 26, 2018

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on November 24, 2018

Hii imenibamba sana! 😂😅

Kassim (Guest) on November 2, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

Henry Mollel (Guest) on October 2, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 29, 2018

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

Zubeida (Guest) on July 28, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Diana Mumbua (Guest) on July 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Nchi (Guest) on July 16, 2018

😄 Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on June 28, 2018

🤣🤣👏😆

Mtumwa (Guest) on May 17, 2018

😂 Ninashiriki mara moja!

Janet Mwikali (Guest) on April 7, 2018

😆 Bado nacheka!

Henry Sokoine (Guest) on March 30, 2018

😂🤣😆

Rose Waithera (Guest) on March 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Diana Mumbua (Guest) on March 17, 2018

😂👌😆😊

Hawa (Guest) on March 4, 2018

😄 Umeshinda mtandao leo!

John Kamande (Guest) on February 21, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Nuru (Guest) on February 21, 2018

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

George Mallya (Guest) on February 18, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏

Paul Ndomba (Guest) on February 13, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣

Anna Mahiga (Guest) on February 2, 2018

😂🤣😆👏

Jane Muthoni (Guest) on January 26, 2018

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Victor Kimario (Guest) on January 20, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Richard Mulwa (Guest) on January 11, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Janet Sumaye (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Alex Nyamweya (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Amir (Guest) on December 21, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Majaliwa (Guest) on December 21, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

John Mushi (Guest) on December 20, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 2, 2017

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Agnes Lowassa (Guest) on November 27, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Related Posts

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_br2hrsbj679ukqmqbvhl5vjh48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3