Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_83ffc31c300e89c83c40eb06ef16c5fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_83ffc31c300e89c83c40eb06ef16c5fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_83ffc31c300e89c83c40eb06ef16c5fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_83ffc31c300e89c83c40eb06ef16c5fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_83ffc31c300e89c83c40eb06ef16c5fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_83ffc31c300e89c83c40eb06ef16c5fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Wande (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Mligo (Guest) on November 26, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Raha (Guest) on October 15, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 19, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Faith Kariuki (Guest) on September 13, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Charles Mrope (Guest) on September 13, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Joyce Aoko (Guest) on September 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on August 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on July 27, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Anna Sumari (Guest) on July 22, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on July 17, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Mligo (Guest) on July 13, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joy Wacera (Guest) on July 4, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on June 14, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwafirika (Guest) on June 14, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Saidi (Guest) on June 2, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Bernard Oduor (Guest) on June 1, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Dorothy Nkya (Guest) on May 7, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Wande (Guest) on April 24, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Kawawa (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Nyambura (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Halimah (Guest) on March 23, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Isaac Kiptoo (Guest) on March 20, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on March 4, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Selemani (Guest) on March 3, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mohamed (Guest) on February 10, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Rashid (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on November 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on October 24, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Issack (Guest) on September 30, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kitine (Guest) on July 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Selemani (Guest) on July 17, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Salma (Guest) on July 1, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Samson Mahiga (Guest) on June 27, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on June 20, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Wafula (Guest) on June 7, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Maneno (Guest) on June 7, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mchawi (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ibrahim (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Mchuma (Guest) on April 25, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on April 15, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Mchawi (Guest) on March 15, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Husna (Guest) on March 12, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Irene Makena (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Chiku (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mwikali (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on January 30, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on January 10, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mercy Atieno (Guest) on December 23, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Andrew Mahiga (Guest) on December 17, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on November 13, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on October 12, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 8, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on August 6, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Related Posts

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_83ffc31c300e89c83c40eb06ef16c5fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact