Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1clg9lvh6blasrfiblds3h94o9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1clg9lvh6blasrfiblds3h94o9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1clg9lvh6blasrfiblds3h94o9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1clg9lvh6blasrfiblds3h94o9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1clg9lvh6blasrfiblds3h94o9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1clg9lvh6blasrfiblds3h94o9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Wambura (Guest) on November 27, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on September 14, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anna Mahiga (Guest) on September 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on September 2, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on September 1, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sarafina (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Kawawa (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Betty Kimaro (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 15, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on June 17, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 4, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Daniel Obura (Guest) on January 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kevin Maina (Guest) on December 3, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on November 11, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on October 21, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on October 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on September 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Peter Mbise (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on August 12, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Chacha (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mazrui (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Wairimu (Guest) on July 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 5, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on May 17, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Sokoine (Guest) on April 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Yahya (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rahma (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Jane Muthui (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on January 6, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on January 2, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nuru (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Masika (Guest) on November 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on October 23, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1clg9lvh6blasrfiblds3h94o9, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact