Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zakaria (Guest) on July 18, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on July 9, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on March 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on March 21, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on February 28, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on February 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on February 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

George Tenga (Guest) on January 8, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Khadija (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Mboya (Guest) on December 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Wande (Guest) on November 27, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ali (Guest) on November 16, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on November 11, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on October 25, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Maulid (Guest) on October 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Hekima (Guest) on September 23, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alice Jebet (Guest) on September 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2018

😊🀣πŸ”₯

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Halimah (Guest) on June 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Chris Okello (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on May 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on May 5, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on May 2, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Muslima (Guest) on April 27, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on April 20, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on March 13, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Violet Mumo (Guest) on March 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on February 28, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Josephine Nduta (Guest) on February 24, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Edward Chepkoech (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on January 31, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on January 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on January 1, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on December 22, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 12, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam (Guest) on December 9, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 12, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3