Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.
Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni
Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.
Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??
Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO
Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.
Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniβ¦
Mara blenda priiiiiβ¦ juiceβ¦ ama milk shakeβ¦. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..
Wakati anakunywa juice ama milk shakeβ¦Anza kukuna naziβ¦
Chambua mnafuβ¦
Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka⦠katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..
ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni⦠hahahaha kwenye friji⦠wala hatumi..
Hahaahha⦠utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.
Mmiminie supuβ¦
Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..
Muulize kuna chapatiβ¦Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..
.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaβ¦Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindiβ¦Hahahaha..
analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeβ¦
Hahahahahahaβ¦.Baada ya hapo acha apumzikeβ¦ aogeβ¦
Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..
Mkimaliza muombe pesa ya sokoniβ¦
NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.
Hahahahaha.. jamaniβ¦
Hahahahaha⦠yani kwa raha ya supu⦠nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana⦠hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo⦠unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.
Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaβ¦
Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoβ¦. hahahahahahahahahaha.
Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliβ¦
Wali maharage kama jeshi la j
Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2019
π ππ
Francis Njeru (Guest) on July 29, 2019
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Zakaria (Guest) on July 18, 2019
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2019
Nimeipenda hii joke! ππ
Charles Wafula (Guest) on July 9, 2019
Hii imenikuna sana! ππ
Michael Mboya (Guest) on July 5, 2019
ππ€£ππ
Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2019
ππ
Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2019
Hii imenifurahisha sana! ππ
Kenneth Murithi (Guest) on March 23, 2019
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Bernard Oduor (Guest) on March 21, 2019
Hii imenibamba sana! π π€£
Peter Otieno (Guest) on February 28, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2019
π Kali sana!
Sarah Achieng (Guest) on February 18, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Esther Nyambura (Guest) on February 15, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
George Tenga (Guest) on January 8, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Khadija (Guest) on December 30, 2018
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Michael Mboya (Guest) on December 23, 2018
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Nancy Akumu (Guest) on December 5, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Wande (Guest) on November 27, 2018
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Ali (Guest) on November 16, 2018
π Ninakufa hapa!
Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2018
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Joy Wacera (Guest) on November 11, 2018
π Lazima nihifadhi hii!
Esther Cheruiyot (Guest) on November 1, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Victor Kimario (Guest) on October 25, 2018
πππ π
Maulid (Guest) on October 14, 2018
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Hekima (Guest) on September 23, 2018
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Alice Jebet (Guest) on September 12, 2018
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
John Lissu (Guest) on August 28, 2018
ππ€£ππ
Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2018
ππ€£π₯
Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018
π Bado nacheka!
Mary Kidata (Guest) on July 6, 2018
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Halimah (Guest) on June 2, 2018
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Chris Okello (Guest) on June 1, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
George Wanjala (Guest) on May 31, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
George Ndungu (Guest) on May 6, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Vincent Mwangangi (Guest) on May 5, 2018
Hii ni bomba sana! π€£π
Lucy Mushi (Guest) on May 2, 2018
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Muslima (Guest) on April 27, 2018
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Josephine Nduta (Guest) on April 20, 2018
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Sarafina (Guest) on March 13, 2018
π Dhahabu ya vichekesho!
Violet Mumo (Guest) on March 12, 2018
π πππ
Agnes Njeri (Guest) on February 28, 2018
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Josephine Nduta (Guest) on February 24, 2018
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Edward Chepkoech (Guest) on February 8, 2018
ππ€£ππ
Moses Mwita (Guest) on January 31, 2018
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Agnes Sumaye (Guest) on January 12, 2018
Nimecheka hadi machozi π€£π
Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2018
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Moses Kipkemboi (Guest) on January 1, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
David Musyoka (Guest) on January 1, 2018
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Jane Muthui (Guest) on December 22, 2017
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Diana Mumbua (Guest) on December 12, 2017
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Mariam (Guest) on December 9, 2017
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2017
Umesema kweli! ππ
Peter Otieno (Guest) on November 12, 2017
π€£π€£ππ
Janet Mbithe (Guest) on October 17, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ