Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a87529acd341f1b69e688c18c6a74657, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a87529acd341f1b69e688c18c6a74657, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a87529acd341f1b69e688c18c6a74657, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a87529acd341f1b69e688c18c6a74657, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a87529acd341f1b69e688c18c6a74657, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a87529acd341f1b69e688c18c6a74657, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Majaliwa (Guest) on December 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Elijah Mutua (Guest) on November 7, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Margaret Mahiga (Guest) on October 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Mchawi (Guest) on October 14, 2019

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Juma (Guest) on October 9, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Elijah Mutua (Guest) on September 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Nancy Komba (Guest) on August 31, 2019

😄 Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on July 24, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Grace Mushi (Guest) on July 6, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣

Azima (Guest) on July 5, 2019

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edward Chepkoech (Guest) on June 2, 2019

🤣🔥😊

Moses Mwita (Guest) on March 17, 2019

🤣 Hii imewaka moto!

Abubakar (Guest) on March 2, 2019

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 17, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Diana Mallya (Guest) on January 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

Carol Nyakio (Guest) on January 10, 2019

😅 Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on January 8, 2019

😂 Nimeipenda kabisa hii!

George Tenga (Guest) on December 24, 2018

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Neema (Guest) on December 20, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nakitare (Guest) on December 12, 2018

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mchome (Guest) on October 31, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

James Malima (Guest) on October 30, 2018

😅😂👌😊

Margaret Mahiga (Guest) on October 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Joseph Kitine (Guest) on October 16, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Jane Muthoni (Guest) on August 28, 2018

😂🤣😆

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

George Mallya (Guest) on July 2, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 16, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏

Jackson Makori (Guest) on May 15, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

Shabani (Guest) on April 23, 2018

Asante Ackyshine

Jane Muthoni (Guest) on April 8, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Rahma (Guest) on March 3, 2018

😄 Umeimaliza kabisa!

Warda (Guest) on February 24, 2018

🤣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on February 22, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏

Dorothy Nkya (Guest) on February 11, 2018

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Kenneth Murithi (Guest) on February 6, 2018

🤣😭😆

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Joseph Njoroge (Guest) on January 27, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2018

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Michael Mboya (Guest) on December 5, 2017

🤣🤣😄😆

Sekela (Guest) on November 27, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Brian Karanja (Guest) on November 20, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abdullah (Guest) on November 15, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Janet Sumaye (Guest) on November 9, 2017

😅😊😂👏

Kassim (Guest) on October 30, 2017

😅 Bado ninacheka!

John Lissu (Guest) on October 17, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆

David Chacha (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Samuel Omondi (Guest) on September 27, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Masanja (Guest) on September 26, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on September 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Mary Kidata (Guest) on September 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Jane Muthoni (Guest) on September 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Henry Mollel (Guest) on September 14, 2017

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2017

😆😂😊

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2017

Mna talent ya jokes! 👏😂

Tabu (Guest) on July 30, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆

Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2017

😄 Kichekesho gani!

Related Posts

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;- kwa nini umechelewa kazini
Juma;- kuna mtu njiani alidondo... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

👉🏽 Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA : Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a87529acd341f1b69e688c18c6a74657, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3