Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4c43c680628f9158051da50719a40250, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4c43c680628f9158051da50719a40250, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4c43c680628f9158051da50719a40250, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4c43c680628f9158051da50719a40250, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4c43c680628f9158051da50719a40250, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4c43c680628f9158051da50719a40250, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kenneth Murithi (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Akumu (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on September 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on August 24, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on August 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nahida (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mwangi (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on July 11, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Kiwanga (Guest) on June 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Furaha (Guest) on June 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwinyi (Guest) on May 31, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Grace Njuguna (Guest) on April 7, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on February 24, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on December 22, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

John Mwangi (Guest) on December 15, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on December 2, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 21, 2016

Asante Ackyshine

Lucy Kimotho (Guest) on October 14, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on October 13, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Shamsa (Guest) on September 8, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sharon Kibiru (Guest) on September 5, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hellen Nduta (Guest) on July 22, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 15, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sultan (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

James Kawawa (Guest) on April 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Kiza (Guest) on April 6, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 4, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Daniel Obura (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Josephine Nekesa (Guest) on January 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Latifa (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alice Mrema (Guest) on October 9, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 5, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Frank Macha (Guest) on September 13, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Cheruiyot (Guest) on September 9, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on September 8, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 14, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kevin Maina (Guest) on August 4, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwanahawa (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zulekha (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Dorothy Nkya (Guest) on June 8, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 2, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on April 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4c43c680628f9158051da50719a40250, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3