Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a971aaef2e2d2f41b7cc6d93d23f1a66, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a971aaef2e2d2f41b7cc6d93d23f1a66, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a971aaef2e2d2f41b7cc6d93d23f1a66, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a971aaef2e2d2f41b7cc6d93d23f1a66, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a971aaef2e2d2f41b7cc6d93d23f1a66, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a971aaef2e2d2f41b7cc6d93d23f1a66, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Diana Mumbua (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Betty Kimaro (Guest) on January 20, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Sultan (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Andrew Mahiga (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Zainab (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Mligo (Guest) on December 4, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on October 30, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on October 24, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Majaliwa (Guest) on October 13, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Patrick Akech (Guest) on October 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Josephine Nekesa (Guest) on August 18, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on July 24, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on July 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on July 18, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mgeni (Guest) on July 17, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Salma (Guest) on July 17, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

David Chacha (Guest) on July 12, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on May 25, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on May 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on May 8, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 2, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on January 7, 2016

Asante Ackyshine

Baridi (Guest) on December 6, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Wilson Ombati (Guest) on December 5, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on December 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on November 30, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on November 27, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mchome (Guest) on November 26, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Biashara (Guest) on November 23, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Kevin Maina (Guest) on November 14, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on October 24, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on October 22, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Andrew Odhiambo (Guest) on October 10, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mary Njeri (Guest) on September 12, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Sokoine (Guest) on September 9, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on August 31, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on August 7, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on July 21, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chum (Guest) on June 25, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on June 15, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on June 12, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on June 6, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 25, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on May 5, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on May 5, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Selemani (Guest) on April 27, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 12, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on April 7, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Related Posts

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a971aaef2e2d2f41b7cc6d93d23f1a66, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact