Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_21f8ac6ab7b28af908ae11043238978e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_21f8ac6ab7b28af908ae11043238978e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_21f8ac6ab7b28af908ae11043238978e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_21f8ac6ab7b28af908ae11043238978e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_21f8ac6ab7b28af908ae11043238978e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_21f8ac6ab7b28af908ae11043238978e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mbise (Guest) on November 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on October 22, 2017

🀣πŸ”₯😊

Martin Otieno (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 13, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on September 4, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Charles Mchome (Guest) on August 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on June 2, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on May 26, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on April 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Makame (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Chiku (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on March 3, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on February 7, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on February 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on January 11, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on December 19, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on December 6, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 30, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nashon (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Mallya (Guest) on October 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on July 27, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Malima (Guest) on June 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on June 9, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Onyango (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Janet Mwikali (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zainab (Guest) on December 20, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nasra (Guest) on August 18, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on August 15, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Mchome (Guest) on July 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on July 3, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nuru (Guest) on June 12, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salma (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on May 25, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwafirika (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_21f8ac6ab7b28af908ae11043238978e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3