Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Maulid (Guest) on December 22, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Khadija (Guest) on August 16, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rubea (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

🀣πŸ”₯😊

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Bakari (Guest) on April 21, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95ba2a03511e8f2485546c58144ea238, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3