Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5786bff02da86e243cc320cb9a7cd926, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5786bff02da86e243cc320cb9a7cd926, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5786bff02da86e243cc320cb9a7cd926, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5786bff02da86e243cc320cb9a7cd926, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5786bff02da86e243cc320cb9a7cd926, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5786bff02da86e243cc320cb9a7cd926, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Tenga (Guest) on April 30, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on April 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on February 17, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on December 13, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mohamed (Guest) on December 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2016

🀣πŸ”₯😊

Samson Mahiga (Guest) on November 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 29, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Kamande (Guest) on September 19, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on August 9, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Omar (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on June 24, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on June 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Monica Lissu (Guest) on June 9, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Malima (Guest) on May 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 8, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Kangethe (Guest) on March 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on March 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Zakia (Guest) on March 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Brian Karanja (Guest) on February 24, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on February 24, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on February 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on December 21, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on December 16, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hashim (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Sokoine (Guest) on October 17, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Stephen Kikwete (Guest) on October 16, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on October 8, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on October 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 21, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on September 14, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Athumani (Guest) on September 5, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on June 29, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on June 17, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 9, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on May 13, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Mahiga (Guest) on May 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mzee (Guest) on April 30, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on April 28, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Yusuf (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5786bff02da86e243cc320cb9a7cd926, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3