Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_11a206b809a1e20415f402e5f0b4c14f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_11a206b809a1e20415f402e5f0b4c14f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_11a206b809a1e20415f402e5f0b4c14f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_11a206b809a1e20415f402e5f0b4c14f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_11a206b809a1e20415f402e5f0b4c14f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_11a206b809a1e20415f402e5f0b4c14f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Tenga (Guest) on April 30, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on April 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on February 17, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on December 13, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mohamed (Guest) on December 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2016

🀣πŸ”₯😊

Samson Mahiga (Guest) on November 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 29, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Kamande (Guest) on September 19, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on August 9, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Omar (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on June 24, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on June 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Monica Lissu (Guest) on June 9, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Malima (Guest) on May 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 8, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Kangethe (Guest) on March 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on March 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Zakia (Guest) on March 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Brian Karanja (Guest) on February 24, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on February 24, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on February 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on December 21, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on December 16, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hashim (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Sokoine (Guest) on October 17, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Stephen Kikwete (Guest) on October 16, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on October 8, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on October 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 21, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on September 14, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Athumani (Guest) on September 5, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on June 29, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on June 17, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 9, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on May 13, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Mahiga (Guest) on May 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mzee (Guest) on April 30, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on April 28, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Yusuf (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_11a206b809a1e20415f402e5f0b4c14f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact