Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_261f4f0e848750d785effaa9e321388f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_261f4f0e848750d785effaa9e321388f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_261f4f0e848750d785effaa9e321388f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_261f4f0e848750d785effaa9e321388f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_261f4f0e848750d785effaa9e321388f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_261f4f0e848750d785effaa9e321388f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Chiku (Guest) on May 2, 2024

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on April 27, 2024

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Ann Wambui (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Patrick Mutua (Guest) on April 14, 2024

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Joseph Njoroge (Guest) on April 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Jane Muthui (Guest) on April 2, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Guest (Guest) on January 13, 2026

12

Ruth Kibona (Guest) on March 24, 2024

😄 Kichekesho gani!

Irene Makena (Guest) on March 22, 2024

😅 Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2024

😂🤣😂😅

Diana Mumbua (Guest) on February 15, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Lucy Wangui (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Stephen Kikwete (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ðŸ‘😆

Sharifa (Guest) on January 27, 2024

😅 Nilihitaji hii!

John Mushi (Guest) on January 14, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Mariam Hassan (Guest) on January 13, 2024

Hii ni bomba sana! 🤣ðŸ‘

John Lissu (Guest) on January 11, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ðŸ‘🤣

Maimuna (Guest) on December 24, 2023

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Monica Nyalandu (Guest) on December 10, 2023

😂🤣😆ðŸ‘

Zainab (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on October 31, 2023

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ðŸ‘😆

John Mushi (Guest) on July 10, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! 😆ðŸ‘

Zainab (Guest) on June 23, 2023

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Muslima (Guest) on June 21, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! 😄

Francis Njeru (Guest) on June 19, 2023

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Henry Mollel (Guest) on June 17, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on June 12, 2023

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edwin Ndambuki (Guest) on June 1, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Agnes Njeri (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Khamis (Guest) on May 29, 2023

😄 Umenishika vizuri!

Sultan (Guest) on May 17, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ðŸ†

James Kimani (Guest) on May 16, 2023

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 21, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

Joseph Kawawa (Guest) on March 10, 2023

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Michael Onyango (Guest) on February 23, 2023

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on February 3, 2023

😂🤣😆

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2023

🤣🔥😊

Jane Muthui (Guest) on January 18, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Dorothy Nkya (Guest) on January 3, 2023

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on December 30, 2022

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Khamis (Guest) on November 25, 2022

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sharon Kibiru (Guest) on November 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂

Sumaya (Guest) on November 18, 2022

😆 Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on October 23, 2022

Asante Ackyshine

Mwanais (Guest) on October 7, 2022

😠Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on September 22, 2022

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Mgeni (Guest) on September 13, 2022

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Akinyi (Guest) on August 26, 2022

😆ðŸ‘😂😄

George Ndungu (Guest) on July 29, 2022

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Kawawa (Guest) on July 15, 2022

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 1, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2022

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Fadhili (Guest) on May 31, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Grace Mligo (Guest) on May 15, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Peter Mugendi (Guest) on May 7, 2022

😂👌😆😊

Peter Otieno (Guest) on May 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Related Posts

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?â... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_261f4f0e848750d785effaa9e321388f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📠Register 📞 Contact