Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_93f23a41c4725e0b5d44adfdb08b1033, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya kutumia mashonanguo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
Date: December 26, 2020
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidens
pilosa)
Mashona nguo yanazuia wadudukama vile Vidukari, Siafu, bungo, katapila, chenene (crickets), nyenyere, siafu na inzi weupe.
Jinsi ya Kutayarisha na kutumia mashonanguo
- Jaza kikombe kilichojaa mbegu ambazo zimekomaa na maji;
- Chemsha kwa dakika kumi au loweka kwenye maji kwa saa ishirini na nne, kisha upooze.
- Ongeza lita moja ya maji na kijiko kimoja kidogo cha sabuni;
- Kisha unyunyizie mimea.
Matumizi mengine
- Mbegu zinaweza kutawanyishwa karibu na vichaka kuvutia mchwa.
- Mmea waweza kupondwa au kufikichwa kisha maji yake yatumike kunyunyizia mimea.
Angalizo: Kiasi kingi cha dawa hii chaweza kudhuru baadhi ya maua ya mimea.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_93f23a41c4725e0b5d44adfdb08b1033, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Utangulizi
Mbaazi ni zao la chakula ambalo pia linaweza kulimwa kama zao la bi...
Read More
1. Zingatia chanjo muhimu kwa kuku ili kuzuia magonjwa kama utakavyoshauriwa na mtaalamu wa mifugo.
...
Read More
Mbangi mwitu au kwa kisayansi ni African marigold / (Tagetes erecta) Unazuia Bakteria, fungusi na...
Read More
Mbolea ya kunyunyiza ni nzuri kwani inasaidia kuupa mmea virutubisho moja kwa moja kupitia kwenye...
Read More
Vitunguu ni zao la mbogamboga na hulimwa kwa ajili ya balbu zake ambazo hutumika kama kiungo cha ...
Read More
Mizinga ya Kifuniko juu (Top bar)
Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na weng...
Read More
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora.
<...
Read More
Kichwa cha kabichi kinapofunga vizuri, hutumika kama chakula na huvunwa baada ya kufunga na kukom...
Read More
1. Nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote kuzuia ueneaji na kuzaliana kwa vijidudu vya magonjwa
...
Read More
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!