Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_eeb43f27d8fa5f8330885236e520bfc4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya kutumia mashonanguo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
Date: December 26, 2020
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidens
pilosa)
Mashona nguo yanazuia wadudukama vile Vidukari, Siafu, bungo, katapila, chenene (crickets), nyenyere, siafu na inzi weupe.
Jinsi ya Kutayarisha na kutumia mashonanguo
- Jaza kikombe kilichojaa mbegu ambazo zimekomaa na maji;
- Chemsha kwa dakika kumi au loweka kwenye maji kwa saa ishirini na nne, kisha upooze.
- Ongeza lita moja ya maji na kijiko kimoja kidogo cha sabuni;
- Kisha unyunyizie mimea.
Matumizi mengine
- Mbegu zinaweza kutawanyishwa karibu na vichaka kuvutia mchwa.
- Mmea waweza kupondwa au kufikichwa kisha maji yake yatumike kunyunyizia mimea.
Angalizo: Kiasi kingi cha dawa hii chaweza kudhuru baadhi ya maua ya mimea.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_eeb43f27d8fa5f8330885236e520bfc4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
1. Usiuchoshe sana udongo
Udongo ni kiungo muhimu sana katika uzalishaji wa mazao...
Read More
Kichwa cha kabichi kinapofunga vizuri, hutumika kama chakula na huvunwa baada ya kufunga na kukom...
Read More
Mtaalamu wa nyuki
Unapohitaji unahitaji kufuga nyuki ni lazima uwe na uelewa wa m...
Read More
Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi...
Read More
Ng’ombe wa maziwa wanahitaji virutubisho zaidi ili kuweza kuzalisha maziwa kwa wingi hasa katika k...
Read More
Mizinga ya Kifuniko juu (Top bar)
Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na weng...
Read More
Utangulizi
Mbaazi ni zao la chakula ambalo pia linaweza kulimwa kama zao la bi...
Read More
Mbinu hizo ni hizi zifuatazo;
Kilimo cha Parachichi nacho kinalipa ukilima.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_eeb43f27d8fa5f8330885236e520bfc4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
No comments yet. Be the first to share your thoughts!