Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_eod77106vb9cpl6ac6nn7f9upn, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Unakumbuka haya enzi za shule?
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na hayaβ¦
1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπ
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπ
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπ
π
Dah shule zetu hizi kiboko!!
Ipi umeipitia wewe
Share na wengine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_eod77106vb9cpl6ac6nn7f9upn, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in...
Read More
Lakini sisi wanaume hatuko fair β¦ Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang...
Read More
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k...
Read More
Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni...
Read More
Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem...
Read More
UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA
HIVI ULIDHANI MWL.NY...
Read More
Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?
Bin...
Read More
Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte...
Read More
BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap...
Read More
WIVU HUU NI NOMA
Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje?
Mume: Kama nywele za kichwa c...
Read More
Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et
"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud...
Read More
Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2024
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Guest (Guest) on December 20, 2025
Zote me nimepitia
Betty Kimaro (Guest) on June 7, 2024
Hii imenichekesha sana! ππ
Issack (Guest) on June 5, 2024
π€£ Sikutarajia hiyo!
Frank Sokoine (Guest) on May 24, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2024
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2024
ππ
Victor Mwalimu (Guest) on March 15, 2024
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Nashon (Guest) on February 21, 2024
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Guest (Guest) on September 23, 2025
Zotenimepitia nomasanaaaaaaaaaa
Paul Kamau (Guest) on February 5, 2024
ππ€£ππ
Mercy Atieno (Guest) on January 30, 2024
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Victor Malima (Guest) on January 17, 2024
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on December 15, 2023
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Lucy Kimotho (Guest) on November 16, 2023
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
John Malisa (Guest) on November 1, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Stephen Amollo (Guest) on October 16, 2023
ππ
Nancy Kawawa (Guest) on October 1, 2023
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Tambwe (Guest) on September 18, 2023
π Ninaihifadhi hii!
Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2023
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
George Ndungu (Guest) on September 7, 2023
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Margaret Mahiga (Guest) on September 5, 2023
π Siwezi kuacha kucheka!
Charles Mrope (Guest) on August 10, 2023
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Kenneth Murithi (Guest) on August 2, 2023
Nimeipenda hii joke! ππ
Kenneth Murithi (Guest) on July 25, 2023
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Violet Mumo (Guest) on July 10, 2023
π€£π€£ππ
Majid (Guest) on June 28, 2023
π Nilihitaji hii!
Joseph Kawawa (Guest) on June 7, 2023
π Naihifadhi hii!
Victor Sokoine (Guest) on June 5, 2023
π Kali sana!
Abubakari (Guest) on May 4, 2023
π Umeshinda mtandao leo!
Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023
πππ π€£
Agnes Sumaye (Guest) on April 11, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Bernard Oduor (Guest) on April 9, 2023
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Patrick Kidata (Guest) on April 2, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Mgeni (Guest) on March 29, 2023
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
John Kamande (Guest) on March 26, 2023
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Jane Muthui (Guest) on March 23, 2023
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Esther Nyambura (Guest) on March 19, 2023
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Wilson Ombati (Guest) on March 14, 2023
ππ€£ππ
Fredrick Mutiso (Guest) on February 16, 2023
Nimefurahia sana hii! π π
Bakari (Guest) on February 8, 2023
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Shani (Guest) on January 28, 2023
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Brian Karanja (Guest) on December 31, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Joseph Kitine (Guest) on December 27, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
George Wanjala (Guest) on December 18, 2022
π πππ
David Chacha (Guest) on November 13, 2022
π Nacheka hadi chini!
Leila (Guest) on November 8, 2022
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Jaffar (Guest) on November 5, 2022
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Kheri (Guest) on August 20, 2022
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Nicholas Wanjohi (Guest) on August 4, 2022
π Nacheka hadi nalia!
Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2022
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
John Lissu (Guest) on May 31, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Mariam (Guest) on May 24, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Charles Mboje (Guest) on May 24, 2022
π Hii ni kali sana!
Thomas Mtaki (Guest) on May 18, 2022
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Maimuna (Guest) on May 5, 2022
π Nilihitaji kicheko hicho!
Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2022
π€£ππ
Patrick Kidata (Guest) on April 11, 2022
π πππ
Wilson Ombati (Guest) on April 4, 2022
ππ ππ
Rubea (Guest) on March 28, 2022
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π