Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_97cc0b17167c82fb70035d19fdd89e2a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanzaβ¦β¦.
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iwejeβ¦.anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11.Always yuko na simuβ¦..hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simuβ¦.anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa Share na washikaji zakoππi
Download Kitabu hiki Kifuatacho cha SIRI ZA MWANAMKE kuwafahamu zaidi Wanawake
[products columns="2" ids="30827"]
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_97cc0b17167c82fb70035d19fdd89e2a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Karibu kwenye makala hii inayojadili jinsi ya kujenga mazingira ya upendo na ukarimu katika famil...
Read More
Kukumbatia nafasi ya ushukurani katika ndoa ni muhimu sana kwa kujenga upendo, furaha, na kuridhika....
Read More
Kukuza umoja na ushirikiano wa kudumu na mke wako ni muhimu katika kujenga ndoa yenye furaha na thab...
Read More
Hivi unajua kwamba kuna umuhimu mkubwa wa kuzungumzia masuala ya haki za binadamu na usawa kwa mp...
Read More
Familia ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila mtu. Ni katika familia ndipo tunapopata upendo,...
Read More
Mabadiliko ni sehemu ya asili ya maisha na yanaweza kutokea katika uhusiano wako na mpenzi wako pia....
Read More
Kuimarisha mawasiliano ya kimapenzi na mpenzi wako ni muhimu kwa kuendeleza uhusiano wenye afya na k...
Read More
Kujenga mazoea ya kupenda na kuheshimu katika familia ni muhimu sana kwa afya na ustawi wa famili...
Read More
Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi
Upendo ni ...
Read More
Kujenga Tabia ya Kusaidiana na Kushirikiana katika Familia
Familia ni kitovu cha maisha ye...
Read More
Leo, tutajadili jinsi ya kujenga uaminifu katika familia kwa njia ya kuheshimu na kutimiza ahadi....
Read More
Kusaidiana na mke wako kufikia ndoto zake za kibinafsi na za kazi ni sehemu muhimu ya kuimarisha uhu...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!