Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_bb213112a6060f5cdc100ffeed98d1ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_bb213112a6060f5cdc100ffeed98d1ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_bb213112a6060f5cdc100ffeed98d1ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_bb213112a6060f5cdc100ffeed98d1ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_bb213112a6060f5cdc100ffeed98d1ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_bb213112a6060f5cdc100ffeed98d1ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rashid (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yahya (Guest) on May 18, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on April 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on April 13, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chris Okello (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on March 12, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 10, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on January 31, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 31, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on November 17, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 8, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Mrope (Guest) on August 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hamida (Guest) on August 14, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on July 29, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 14, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on July 5, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on June 19, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 8, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joy Wacera (Guest) on March 30, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Martin Otieno (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Shani (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on December 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 17, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on November 24, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on November 10, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Njeru (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Juma (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mwambui (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Lissu (Guest) on April 25, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 21, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 19, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on February 24, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on February 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on January 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on January 11, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kijakazi (Guest) on January 2, 2022

Asante Ackyshine

Shamsa (Guest) on December 23, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Zainab (Guest) on December 20, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_bb213112a6060f5cdc100ffeed98d1ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3