Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_947f5846e425f1fae84fc73d6675ba81, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mapishi ya mboga ya mnavu
Date: June 30, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viamba upishi
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafuta vijiko viubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe 1
Chumvi kiasi ½
Hatua
• Chambua mnavu, osha na katakata.
• Menya, osha na katakata kitunguu.
• Osha, menya na kwaruza karoti.
• Kaanga karanga, ondoa maganda na saga zilainike.
• Kaanga vitunguu na karoti mpaka zilainike ukikoroga.
• Weka mnavu na chumvi koroga sawa sawa, funika kwa dakika 5-10 (kama ni kavu weak maji kidogo).
• Changanya maziwa na karanga, ongeza kwenye mnavu ukikoroga kisha punguza moto kwa dakika 5.
• Onja chumvi na pakua kama kitoweo.
Uwezekano
Weka nyanya kidogo.
Tumia tui la nazi au krimu badala ya maziwa.
Weka nyama au dagaa au Mayai badala ya Karanga.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_947f5846e425f1fae84fc73d6675ba81, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Viambaupishi
Unga 3 Vikombe vya chai
Baking powder 1 ½ Vijiko vya chai
Sukar...
Read More
Mahitaji
Kuku wa kienyeji (boiler chicken 1)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Nyanya ya k...
Read More
Kilishe mayai yote ni sawa. Virutubishi vinavyopatikana kwenye yai la kuku wa kienyeji kama proti...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1Read More
Vipimo Vya Wali
Mchele Basmati - 4 vikombe
Vitunguu vya majani (Spring onions) - 5 ...
Read More
Vidokezo 10 vya Vitafunio vya Afya kwa Watoto Wagumu Kula
Kama mzazi au mlezi, mara nyingi...
Read More
Mahitaji
Viazi ulaya 4 vya wastani
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Hoho...
Read More
Njia za kupima Afya
Njia mbalimbali hutumika kupima hali ya lishe, njia hizi ni;
Read More
Mahitaji
Miguu ya kuku (chicken legs) 10
Kitunguu swaum na tangawizi (ginger & g...
Read More
Wali Wa Mpunga
Mchele wa mpunga - 4 Vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi - ...
Read More
Mahitaji
Wali uliopikwa (cooked rice) kiasi
Hoho la kijani (green pepper) 1/2
H...
Read More
Mahitaji
Viazi (potato) 1/2 kilo
Mafuta ya kukaangia (veg oil)
Chumvi
No comments yet. Be the first to share your thoughts!