Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e9e5ef228784a299b3a1037eea8d5b42, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Fahamu kuhusu kitambi na uzito uliopitiliza
Date: March 27, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mwili wa binadamu umeundwa kwa organs na mifumo mbalimbali ili kuuwezesha kufanya kazi sawia. Mfano,
Moyo
Ini
Figo
Mapafu
Mfumo wa fahamu
Mfumo wa uzazi
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
Vyote hivi hufanya kazi kwa usahihi ikiwa mwili una balance ya
Mafuta
Sukari
Nishati
Protein
Vitamins
Lakini kutokana na mfumo wa maisha kubadilika kwa kiasi kikubwa, watu wengi inasemekana wankumbwa na tatizo la OVERWEIGHT (Uzito uliopitiliza) na OBESITY (Kitambi).
Kwa nini tatizo ni kubwa katika rika zote..!?
1.°° Ulaji wa vyakula vya wanga, kama ugali wa sembe , chapati.
2.°° Ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi.
3.°° Ulaji wa nyama nyekundu, kuku wa kisasa na mayai.
4.°° Utumiaji wa beer na soda kwa wingi.
5.°° Mfumo mbaya wa ulaji kwa ujumla.
Madhara yake.
- Shinikizo la damu (Pressure).
- Kisukari (Diabetes)
- Maradhi ya moyo (Heart attack).
- Maumivu ya mgongo na joints.
- Kiharusi
- Maradhi ya mifupa (Osteoporosis)
Nini cha kufanya
- Mazoezi ya viungo ni muhimu sana.
- Kuepuka ulaji wa mafuta mengi.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e9e5ef228784a299b3a1037eea8d5b42, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Pombe ni kinywaji kinachotumiwa na watu wengi pasipo hata kufahamu athari zake. Pombe ina athari ...
Read More
Kula lishe bora
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula...
Read More
Nyonyo Mbarika (Castor)
Mnyony(KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka(KiRusi) ni mmea wa jamii ...
Read More
Watalam mbalimbali wa afya wanasema ya kwamba kwa kila siku ni vyema...
Read More
Wakati wa kufanya tendo la ndoa wapo baadhi ya watu hupatwa na maumivu wakati au baada ya kushiriki ...
Read More
ββpiga chini kitambiββ
Mahitaji
πΉTikitiπ 1
πΉTangawizi kid...
Read More
Mapera ni matunda yanayo patikana kwa wingi lakini mara nyingi huwa hayapendelewi sana kutokana n...
Read More
Unafahamu nini kuhusu suala la kumlaza mwanao? Maana Mapokeo tuliyo yapokea enzi na enzi ni kuwa ...
Read More
Huu ni ugonjwa ambao unasabababishwa na seli zilizopo katika mishipa ya fahamu zilizopo kwenye ubong...
Read More
Watu wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake. Hata hivyo mbali na kuwa na ladha n...
Read More
Hatua za kufuata
1. Tengeneza glasi moja ya juisi ya karoti
Kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya.
Ukipatw...
Read More
: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e9e5ef228784a299b3a1037eea8d5b42, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
No comments yet. Be the first to share your thoughts!