โญTiba kwa kutumia majiโญ
๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง
Hamuwezi kuamini! maradhi mengi Mwenyezi Mungu amejaalia tiba yake ni kunywa maji, shukrani zote ni zake..
Umoja wa Matabibu wa Japan wametangaza utafiti wao wa kutibu maradhi kwa maji na matokeo yake yamefanikiwa kwa aslilimia 100, kwa maradhi yafuatayo:
kichwa, presha, anaemia (upungufu wa damu) ugonjwa wa viungo, kupooza, kuzima kwa moyo, kifafa,unene, kikohozi, kuumwa koo, pum, kifua kikuu,uti wa mgongo, na mradhu yeyote yanayohusiana na njia za mkojo, asidi nyingi,kufunga choo,na maradhi yote yanayohusiana jicho, sikio na koo, pia kwa wanawake wasiopata ada ya mwezi kwa mpangilio
โถNjia ya kutibu kwa majiโ
Amka mapema asubuhi kila siku na kunywa glasi nne(4) za maji, glasi ya kiasi cha mil 160. Kunywa wakati tumbo halina kitu na wala usile wala usinywe kabla ya kupita dakika 45 , na usile wala usinywe masaa mawili yanayofuatia chakula
๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Kuna baadhi ya watu au wagonjwa na wazee hawataweza kunywa glasi nne za maji kwa wakati mmoja, hawa wanaweza wakaanza kidogo kidogo huku wakiongeza kunywa mpaka wafikie kiwango kilichopendekezwa kwa wakati mfupi
โญโญ ๐ค๐ค๐ค๐ค โญโญ
Na matokeo yamethibiti kwamba tiba ya maji imeleta ponya na maradhi yafuatayo kwa muda maalum kama inavyoonyeshwa hapa chini:
๐นmaradhi ya sukari siku 30
๐นkupanda presha siku 30
๐นmatatizo ya tumbo siku 10
๐นsaratani mbali mbali miezi 9
๐นkifua kikuu na uti wa mgongo miezi 6
๐นkufunga choo siku 10
๐นmatatizo ya njia za mkojo na figo siku 10
๐นmatatizo ya pua, sikio na koo siku 20
๐นmatatizo ya ada za mwezi kwa wanawake siku 15
๐นmatatizo mbali mbali ya moyo siku 30
๐นmaumivu ya kichwa siku 3
๐นanaemia(upungufu wa damu) siku 30
๐นunene miezi 4
๐นkifafa na kupooza miezi 9
๐นmatatizo ya kuvuta pumzi miezi 4
Isambazeni huenda wakafaidika wengine na faida kuenea kwa watuโฆ Nawatakia afya na raha kwenu nyote kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
๐๐
No comments yet. Be the first to share your thoughts!