Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_v96dbe06jb7rca2mm2gvveqsgg, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mapishi ya wali wa hoho nyekundu
Date: April 9, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Pilipili hoho (Red pepper 3)
Cougette 1
Kitunguu (onion 1)
Uyoga (mashroom 1 kikombe cha chai)
Carrot 1
Nyanya (fresh tomato 1)
Nyanya ya kopo iliyosagwa (tomato paste 3 vijiko vya chai)
Giligilani (fresh coriander)
Binzari manjano (Turmaric 1/2 ya kijiko cha chai)
Curry powder 1/2 ya kijiko cha chai
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Matayarisho
Kata hoho kati na utoe moyo wake kisha ziweke pembeni, Kisha katakata cougette, kitunguu, uyoga, carrot, nyanya katika vipande vidogo vidogo, Weka sufuria jikoni na uanze kupika uyoga kwa muda wa dakika 5, kisha weka curry powder, turmaric na chumvi na kaanga kidogo kisha weka vegetable zilizobakia pamoja na nyanya ya kusaga pamoja na giligilani. Zikaange kwa muda wa dakika 5 kisha zitie kwenye hoho na kisha uzibake kwa muda wa dakika 20 na hapo zitakuwa tayari kuseviwa na wali.
Wali: angalia katika recipe zilizopita
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_v96dbe06jb7rca2mm2gvveqsgg, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onio...
Read More
Kupika tambi ni kama ifuatavyo
VIAMBA UPISHI
Tambi pakti moja
Sukari ΒΎ kikom...
Read More
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu βSALMONELLAβ vinavyoweza kusababi...
Read More
Matunda ni mojawapo wa kundi la vyakula, ni muhimu sana kwa afya bora. Matunda yakitengenezwa viz...
Read More
Mahitaji
Mchele - 4 vikombe
Kuku - 1
Vitunguu - 3
Nyanya/tungule - 4Read More
Vipimo Vya Wali
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja
Vitunguu maji - 3
Kar...
Read More
Vipimo
Wali:
Mchele - 3 Vikombe
Kitunguu kiichokatwa - 1
Pilipili bog...
Read More
Vipimo - Ugali
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe.
Unga wa sembe - 2...
Read More
Viamba upishi
Nyanya 1Β kg
Maji Iita Β½
Chumvi kijiko kidogo 1
Sukari
<...
Read More
Nguvu ya Nafaka Zote: Chaguzi za Upishi Zenye Afya πΎ
Nafaka zimekuwa chakula kikuu kati...
Read More
Mahitaji
Nyama ya kusaga (minced beef 1/4 kilo)
Vitunguu maji vilivyokatwakatwa(dice...
Read More
Vipimo vya Wali:
Mchele basmati - 3 magi (kikombe kikubwa)
Mchanganyiko wa mboga za...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!